Utabiri,Yanga anakwenda kucheza nusu fainali ya ligi ya mabingwa mwaka huu

Utabiri,Yanga anakwenda kucheza nusu fainali ya ligi ya mabingwa mwaka huu

ndo vile

JF-Expert Member
Joined
Mar 11, 2023
Posts
443
Reaction score
296
Kwa wasiojua mpira wanadhani wananchi wameshatoka kutokana na matokeo ya jana ya mwarabu na mazembe,

Sasa iko hivi matokeo ya kesho,Al hilal 1 Yanga 1,hivyo kundi litasomeka Al hilal points 11,Mc alger points 8,Yanga points 5 Mazembe points 2,mechi ya mwisho kwa mkapa Yanga 4 Mc Alger 0,Yanga hiyo robo fainali.
 
Hesabu zimegoma kabisa 🥵
Screenshot_20250111-162713~2.jpg
 
Kwa wasiojua mpira wanadhani wananchi wameshatoka kutokana na matokeo ya jana ya mwarabu na mazembe,sasa iko hivi matokeo ya kesho,Al hilal 1 Yanga 1,hivyo kundi litasomeka Al hilal points 11,mc alger points 8,Yanga points 5 Mazembe points 2,mechi ya mwisho kwa mkapa Yanga 4 mc alger 0,Yanga hiyo robo fainali.
Jidanganyee
 
Utabiri wapi nawe? We sema tu Yanga inaenda kuchezea nusu fainali
Lambalamba bhana
 
Ogopa hii kitu
 

Attachments

  • Screenshot_20250111-224743_WhatsApp.jpg
    Screenshot_20250111-224743_WhatsApp.jpg
    272.4 KB · Views: 3
Back
Top Bottom