Hope urassa
JF-Expert Member
- Aug 22, 2017
- 4,230
- 10,650
UmbekeHii inaendelea kunitokea. Mfano, wakati wa uchaguzi kuna jamaa nilikuwa ninakunywa nao mbege sehemu fulani, wakijadili siasa za vyama wanajishtukia wanaangalia na kusema oya mwanausalama yupo hapa. Wanapiga kimya.
Ishu ni kwamba Sina muda Sana kutulia mtaani, hawajui kazi yangu, halafu sikai mahala muda mrefu.
Na hata nikiwepo nyumbani hawajui, nikitoka hawajui.
Inakuwa kazi kunielewa.
Ila kisheria kumuhisi mtu ni usalama ni kosa, na hata Kama ni kweli Ni kosa pia kusema fulani ni TISS officer.
Umbeke
Maeneo GANI wanapendelea KUNYWA vituHivi bado kuna huu ushamba? ....sijui ni kwa sababu naishi nao na kunywa nao kila siku..nawaona wakawaida sana....ni kazi kama nyingine zinazohitaji disciplines za juu
Fursa yaMwaka 2018 niliitumia hiyo Kama fursa
Sitakaa nisahau
Na niseme tu ikitokea tena sitoacha
Du kamama-TISS ni mojawapo ya the most stupid people I have ever seen
Majitu ya hovyo mno
Yanashiriki kuonea wanadamu wenzao kuridhisha stupid government and politicians..
Such an evil group of motherfvckers!
Halafu hayanaga akili,shule yalifeligi,majinga jinga matupu..hayajui lolote..halafu yanvyojidai sasa!
Always private sector gets the best people,pay the best money and always ahead of you stupid government slaves!
Kaka tangazo tumeliona dooh,Wadau fursa hii
DAU LA LAKIMOJA KWA ATAKAYE NIPATIA MAJINA YA WALIOITWA KWENYE USAILI POLICE DODOMA WALE 600 WA JANA
DAU LA LAKIMOJA KWA ATAKAYE NIPATIA MAJINA YA WALIOITWA KWENYE USAILI POLICE DODOMA WALE 600 WA JANA Wadau dau lingine baada ya Lile la kwanza la gazeti la HABARI Leo jana sasa hili ni lingine Vijana changamkieni fursawww.jamiiforums.com
Kwani huko mitaani mnafahamu nini kuhusu tisi mbona sie wakawaida tu.Je, utafanya nini endapo sehemu unayofanya kazi jamii inakuhisi wewe ni TISS na huku hata mshahara wa TISS huujui, na hakuna evidence -- kila mtu anasema amesikia kwa watu?
Endelea na shughuli zako tu. Nilisoma chuo (17 years ago) nikahisiwa kuwa ni TISS, binafsi sikuwa najua kuwa watu wananiwazia hivo, siku ya graduation rafiki yangu tulikuwa campany moja akanigusia hilo jambo. Ila maisha yangu chuoni yalikuwa ni ya shida kidogo, sikuwa napata ushirikiano kwa watu wengi, ila wanawake ndio kidogo nilikuwa na o karibu. Ila yule rafiki yangu alie niambia hilo kumbe ndio alikuwa TISS halisi na saivi ni hakimu ila ni TISS.Je, utafanya nini endapo sehemu unayofanya kazi jamii inakuhisi wewe ni TISS na huku hata mshahara wa TISS huujui, na hakuna evidence -- kila mtu anasema amesikia kwa watu?
HahahahaEndelea na shughuli zako tu. Nilisoma chuo (17 years ago) nikahisiwa kuwa ni TISS, binafsi sikuwa najua kuwa watu wananiwazia hivo, siku ya graduation rafiki yangu tulikuwa campany moja akanigusia hilo jambo. Ila maisha yangu chuoni yalikuwa ni ya shida kidogo, sikuwa napata ushirikiano kwa watu wengi, ila wanawake ndio kidogo nilikuwa na o karibu. Ila yule rafiki yangu alie niambia hilo kumbe ndio alikuwa TISS halisi na saivi ni hakimu ila ni TISS.