Man the one
Senior Member
- Jan 12, 2018
- 155
- 96
Umebanwa na haja unaiskia kabisa inataka kutoka,we acha mkuuSiwezi kufanya ujinga huo...yani ninye pirini...wakati choo kipo...hadithi hii inakusadifu mtoa mada kuwa wewe ni mtu wa kijijini tena haswa