Uutafanyaje endapo umeachwa na mtoto wa miaka 17 nyumbani na akaamua kusema kuwa umembaka?
... ni ndugu yake wa kike mkeo mtarajiwa na mkeo mtarajiwa anaamni kuwa kweli umefanya ivyo!nyumbani mliachwa wawili tuu ila nje kuna majirani .kodi ya nyumba analipa mkeo mtarajiwa na ameamua kukufukuza bila kuwa na ushaidi nawe unampenda sana mkeo je kama ni wewe imekutokea ungechukua uamuzi gani?andika ushauri au maoni yako hapa .au kama wewe ndio dada wa huyo mtoto wa kike utachukua uamuzi gani na ungalifanya nini?maana mtoto kakupigia simu kuwa alitaka kubakwa na mchumba anahajafanya hivyo
Nitawaza kuwa huo ni mpango kamambe umesukwa na mke wangu ili kuivunja ndoa yetu,na kikubwa ni kwamba mke ameshaona kuwa mimi ni mzigo na namtegemea kwa kila kitu,hivyo amechoka kufuga mbwa asiyewinda,na itanilazimu kufikiri hivyo kwasababu ya maamuzi yake ya fasta na bila kutaka kufanya uchunguzi juu ya alichokisikia!!!Uutafanyaje endapo umeachwa na mtoto wa miaka 17 nyumbani na akaamua kusema kuwa umembaka? ni ndugu yake wa kike mkeo mtarajiwa na mkeo mtarajiwa anaamni kuwa kweli umefanya ivyo!nyumbani mliachwa wawili tuu ila nje kuna majirani .kodi ya nyumba analipa mkeo mtarajiwa na ameamua kukufukuza bila kuwa na ushaidi nawe unampenda sana mkeo je kama ni wewe imekutokea ungechukua uamuzi gani?andika ushauri au maoni yako hapa .au kama wewe ndio dada wa huyo mtoto wa kike utachukua uamuzi gani na ungalifanya nini?maana mtoto kakupigia simu kuwa alitaka kubakwa na mchumba anahajafanya hivyo
Uutafanyaje endapo umeachwa na mtoto wa miaka 17 nyumbani na akaamua kusema kuwa umembaka? ni ndugu yake wa kike mkeo mtarajiwa na mkeo mtarajiwa anaamni kuwa kweli umefanya ivyo!nyumbani mliachwa wawili tuu ila nje kuna majirani .kodi ya nyumba analipa mkeo mtarajiwa na ameamua kukufukuza bila kuwa na ushaidi nawe unampenda sana mkeo je kama ni wewe imekutokea ungechukua uamuzi gani?andika ushauri au maoni yako hapa .au kama wewe ndio dada wa huyo mtoto wa kike utachukua uamuzi gani na ungalifanya nini?maana mtoto kakupigia simu kuwa alitaka kubakwa na mchumba anahajafanya hivyo
Mtandike vibao huyo mtoto halaf nenda kwenye DNA TEST