form1
Senior Member
- May 21, 2017
- 113
- 143
Me nikikuta hivo ntavamia vile vitu ambavo sijawahi pata/kula au kuvitumia kwahiyo nahakikisha nakula kila aina ya mivyakula naendesha migari ya hatari mara nibadili nguo kila sekunde moja mara niende bank kuu kwenye sanduku la kuhifadhia hela ili nipige selfie na kila aina ya simu usisahau nikitoka hapo nakamata gari kaliiii natembelea mahoteli ya nyota 5 nikale makuku mapizza na kama ntafanya yote hayo wenyewe bado hawajarudi basi naendelea tena kesho wasiporudi basi mwendo ule ule yani hapo mpaka magogoni natia timu kama toi tu kesho kama hawajarudi naendelea tena yaani nakua kama nimejiunga na HALICHACHI.....Salama wakuu, mimi naomba kuwauliza SWALI, je, ikitokea siku moja umeamka ile unatoka nje HUKUTI MTU HATA MMOJA, UNAJARIBU KWENDA KATIKATI YA MJINI HUPISHANI NA MTU YEYOTE YULE.. HAKUNA KINACHOENDELEA, UPO WEWE TU NA WANYAMA KAMA NG'OMBE, MBWA, PAKA, NDEGE N.K...
YANI KIUFUPI UNAJIKUTA UKO WEWE TU HAKUNA WATU WENGINE DUNIANI LAKINI KILA KITU KIPO.. UTACHUKUA UAMUZI GANI?πππ
form1