Utafiti 2018: Unguja kinara katika ukahaba, ulawiti na madawa ya kulevya nchini

Utafiti 2018: Unguja kinara katika ukahaba, ulawiti na madawa ya kulevya nchini

Lupweko

JF-Expert Member
Joined
Mar 26, 2009
Posts
23,566
Reaction score
24,891
Utafiti huu ulifanywa na Wizara ya Afya ya Zanzibar mwaka 2018

1678429692694.png


Chanzo: https://www.ippmedia.com/sw/habari/unguja-kinara-ukahaba-dawa-za-kulevya
 
Huko unguja full misikiti hao mapapai wanatoka wapi? Cc : gavana
 
chanzo ni shughuli za utalii.. hiyo biashara ya ukahaba haiwezi kufa kama utalii unaendelea kwenye ukanda huo..
 
Mambo ya Ukahaba yanachapuka mno kutokana na shughuli za Utalii, Kuna makahaba mpaka kutoka nje ya nchi wamejaa kama Wa Kenya, Wa nigeria, South Africa. NA bado mazingira ya kitalii yajawa organized vizuri, Yakiekwa vizuri na haya mambo yatazidi zaidi.

Kuhusu mambo ya Ushoga kwa Kweli DSM ndio inaongoza.
 
Back
Top Bottom