Mambo ya Ukahaba yanachapuka mno kutokana na shughuli za Utalii, Kuna makahaba mpaka kutoka nje ya nchi wamejaa kama Wa Kenya, Wa nigeria, South Africa. NA bado mazingira ya kitalii yajawa organized vizuri, Yakiekwa vizuri na haya mambo yatazidi zaidi.
Kuhusu mambo ya Ushoga kwa Kweli DSM ndio inaongoza.