Utafiti: 90% ya raia wa Marekani na Uingereza hawana uwezo wa kumiliki nyumba za tofali

Utafiti: 90% ya raia wa Marekani na Uingereza hawana uwezo wa kumiliki nyumba za tofali

FRANCIS DA DON

JF-Expert Member
Joined
Sep 4, 2013
Posts
38,920
Reaction score
44,970
Kuna siku ndugu yangu anayeishi uingereza aliniambia, inashangaza sana kwa nchi kama Tanzania ambapo mchanga unapatikana kila mahali halafu bado kuna watu hawachangamki kujenga na kumiliki nyumba.

Kwakuwa mchanga ni rasilimali adimu sana hasa uingereza na sehemu nyingi za Marekani, huwa wanatumia mbinu kadhaa kupata mchanga, mbinu ambazo ni ghali sana.

1.) Sea Dretching - hapa huwa wanatumia meli kubwa amabzo huwa na vifaa maalum vya kuchimba mchanga katikati ya bahari, kisha mchanga huo hufanyiwa treatment ili kuondoa chumvi chumvi , kisha huwa wanasundika mchanga huo kwenye viroba kama cement na kuuzwa kwa wenye uhutaji.

Yaani unanunua mchanga packaged kama cement. kule hakuna ardhi ya kuchimba chimba na kuacha mashimo hovyo kama huku. Hata hivyo, mchanga huu sio quality nzuri.

2.) Quarry sand - Hapa huwa wanafunga macrusher makubwa kwenye machimbo ya mawe ambapo huwa wanasaga saga mawe ili kupata chenga chenga za changarawe zinazofanana na mchanga, uingereza huwa inatumika sana hii mbinu, hata hivyo, mchanga wa aina hii sio quality kabisa, na ni ghali.

- Hivyo basi, ili kumudu gharama za kumiliki nyumba, wengi huingia kwenye utumwa wa Mortgage, ambapo makampuni makubwa yenye uwezo ndio hujenga nyumba na kuwauziankwa mfumo wa kukipa kidogo kidogo.

Makapuni haya huja kwenye nchi za Afrika na kusomba mchanga kwa kutumia meli kubwa, ni kama njia wanayotumia Zanzibar kuchota mchanga toka vingunguti kwa kutumia yale malorry makubwa ya kichina, wanasomba mchanga kweli kweli na kupakia kwenye mameli na kupeleka ulaya. Kupitia mfumo wa Mortgage wengi hufanikiwa walau kumiliki nyumba wakifikisha miaka 80.

- Njia nyingine ambayo hutumika sana Marekani ni kujenga Suburban neighborhoods kwa kutumia mbao na miti.., yaani hadi fensi zao huwa ni za miti.., kisha wanabandika wall paper, nyimba inapendeza sana, ila sasa, ni nyumba ikiyojengwa kwa kuni, na kama tunavyojua kawaida ya kuni.., matokeo ya umasikini wa kujenga nyumba kwa kuni ni huo hapo chini, angalia video.., umasikini mbaya jamani, khaa…


View: https://youtu.be/STXJWpPAvvg?si=J8Y9IG1tUhhNjGZc
 
Kwamba mchanga wa kusaga jiwe sio quality kabisa. Huo ni uongo ndugu .
 
Kuna siku ndugu yangu anayeishi uingereza aliniambia, inashangaza sana kwa nchi kama Tanzania ambapo mchanga unapatikana kila mahali halafu bado kuna watu hawachangamki kujenga na kumiliki nyumba.

Kwakuwa mchanga ni rasilimali adimu sana hasa uingereza na sehemu nyingi za Marekani, huwa wanatumia mbinu kadhaa kupata mchanga, mbinu ambazo ni ghali sana.

1.) Sea Dretching - hapa huwa wanatumia meli kubwa amabzo huwa na vifaa maalum vya kuchimba mchanga katikati ya bahari, kisha mchanga huo hufanyiwa treatment ili kuondoa chumvi chumvi , kisha huwa wanasundika mchanga huo kwenye viroba kama cement na kuuzwa kwa wenye uhutaji.

Yaani unanunua mchanga packaged kama cement. kule hakuna ardhi ya kuchimba chimba na kuacha mashimo hovyo kama huku. Hata hivyo, mchanga huu sio quality nzuri.

2.) Quarry sand - Hapa huwa wanafunga macrusher makubwa kwenye machimbo ya mawe ambapo huwa wanasaga saga mawe ili kupata chenga chenga za changarawe zinazofanana na mchanga, uingereza huwa inatumika sana hii mbinu, hata hivyo, mchanga wa aina hii sio quality kabisa, na ni ghali.

- Hivyo basi, ili kumudu gharama za kumiliki nyumba, wengi huingia kwenye utumwa wa Mortgage, ambapo makampuni makubwa yenye uwezo ndio hujenga nyumba na kuwauziankwa mfumo wa kukipa kidogo kidogo.

Makapuni haya huja kwenye nchi za Afrika na kusomba mchanga kwa kutumia meli kubwa, ni kama njia wanayotumia Zanzibar kuchota mchanga toka vingunguti kwa kutumia yale malorry makubwa ya kichina, wanasomba mchanga kweli kweli na kupakia kwenye mameli na kupeleka ulaya. Kupitia mfumo wa Mortgage wengi hufanikiwa walau kumiliki nyumba wakifikisha miaka 80.

- Njia nyingine ambayo hutumika sana Marekani ni kujenga Suburban neighborhoods kwa kutumia mbao na miti.., yaani hadi fensi zao huwa ni za miti.., kisha wanabandika wall paper, nyimba inapendeza sana, ila sasa, ni nyumba ikiyojengwa kwa kuni, na kama tunavyojua kawaida ya kuni.., matokeo ya umasikini wa kujenga nyumba kwa kuni ni huo hapo chini, angalia video.., umasikini mbaya jamani, khaa…


View: https://youtu.be/STXJWpPAvvg?si=J8Y9IG1tUhhNjGZc

Ndo kusema nyuma zaidi ya 10000 zimejengwa hivyo kunazia califonia hadi los angel
 
Key advantages of timber over brick:
  • Faster construction:
    Timber frames can be erected much quicker than brick walls, significantly reducing building time.

  • Better insulation:
    Properly designed timber frames can provide excellent thermal insulation, potentially leading to lower energy costs compared to brick.

  • Design flexibility:
    Timber framing allows for more creative architectural designs and customization compared to brick.

  • Sustainability:
    Timber is a renewable resource, making it a more environmentally friendly choice than brick.

  • Cost-effective in some cases:
    Depending on location and availability, timber can be a more affordable option than brick.

  • Noise reduction:
    Timber can naturally dampen sound better than brick in some situations.



  • The only advantage brick houses have over timber houses is their resistance to fire. Nchi kama bongo yenye miti mingi na umaskini wa kutupwa inabidi wajenge zaidi kwa mbao.
 
Kuna siku ndugu yangu anayeishi uingereza aliniambia, inashangaza sana kwa nchi kama Tanzania ambapo mchanga unapatikana kila mahali halafu bado kuna watu hawachangamki kujenga na kumiliki nyumba.

Kwakuwa mchanga ni rasilimali adimu sana hasa uingereza na sehemu nyingi za Marekani, huwa wanatumia mbinu kadhaa kupata mchanga, mbinu ambazo ni ghali sana.

1.) Sea Dretching - hapa huwa wanatumia meli kubwa amabzo huwa na vifaa maalum vya kuchimba mchanga katikati ya bahari, kisha mchanga huo hufanyiwa treatment ili kuondoa chumvi chumvi , kisha huwa wanasundika mchanga huo kwenye viroba kama cement na kuuzwa kwa wenye uhutaji.

Yaani unanunua mchanga packaged kama cement. kule hakuna ardhi ya kuchimba chimba na kuacha mashimo hovyo kama huku. Hata hivyo, mchanga huu sio quality nzuri.

2.) Quarry sand - Hapa huwa wanafunga macrusher makubwa kwenye machimbo ya mawe ambapo huwa wanasaga saga mawe ili kupata chenga chenga za changarawe zinazofanana na mchanga, uingereza huwa inatumika sana hii mbinu, hata hivyo, mchanga wa aina hii sio quality kabisa, na ni ghali.

- Hivyo basi, ili kumudu gharama za kumiliki nyumba, wengi huingia kwenye utumwa wa Mortgage, ambapo makampuni makubwa yenye uwezo ndio hujenga nyumba na kuwauziankwa mfumo wa kukipa kidogo kidogo.

Makapuni haya huja kwenye nchi za Afrika na kusomba mchanga kwa kutumia meli kubwa, ni kama njia wanayotumia Zanzibar kuchota mchanga toka vingunguti kwa kutumia yale malorry makubwa ya kichina, wanasomba mchanga kweli kweli na kupakia kwenye mameli na kupeleka ulaya. Kupitia mfumo wa Mortgage wengi hufanikiwa walau kumiliki nyumba wakifikisha miaka 80.

- Njia nyingine ambayo hutumika sana Marekani ni kujenga Suburban neighborhoods kwa kutumia mbao na miti.., yaani hadi fensi zao huwa ni za miti.., kisha wanabandika wall paper, nyimba inapendeza sana, ila sasa, ni nyumba ikiyojengwa kwa kuni, na kama tunavyojua kawaida ya kuni.., matokeo ya umasikini wa kujenga nyumba kwa kuni ni huo hapo chini, angalia video.., umasikini mbaya jamani, khaa…


View: https://youtu.be/STXJWpPAvvg?si=J8Y9IG1tUhhNjGZc

Ila tumetaarifiwa eneo lililoathirika zaidi ni eneo la matajiri! Matajiri wa Marekani huko California hawana uwezo wa kujenga nyumba za tofali ambazo Tandale Dar es Salaam zimejaa? Nielimisheni!
 
Key advantages of timber over brick:
  • Faster construction:
    Timber frames can be erected much quicker than brick walls, significantly reducing building time.

  • Better insulation:
    Properly designed timber frames can provide excellent thermal insulation, potentially leading to lower energy costs compared to brick.

  • Design flexibility:
    Timber framing allows for more creative architectural designs and customization compared to brick.

  • Sustainability:
    Timber is a renewable resource, making it a more environmentally friendly choice than brick.

  • Cost-effective in some cases:
    Depending on location and availability, timber can be a more affordable option than brick.

  • Noise reduction:
    Timber can naturally dampen sound better than brick in some situations.



  • The only advantage brick houses have over timber houses is their resistance to fire. Nchi kama bongo yenye miti mingi na umaskini wa kutupwa inabidi wajenge zaidi kwa mbao.
Umenikumbusha pale Mwl. Nyerere campus kulikuwa na nyumba ya mbao ikikaliwa na jamaa mmoja mzungu..
 
Kuna siku ndugu yangu anayeishi uingereza aliniambia, inashangaza sana kwa nchi kama Tanzania ambapo mchanga unapatikana kila mahali halafu bado kuna watu hawachangamki kujenga na kumiliki nyumba.

Kwakuwa mchanga ni rasilimali adimu sana hasa uingereza na sehemu nyingi za Marekani, huwa wanatumia mbinu kadhaa kupata mchanga, mbinu ambazo ni ghali sana.

1.) Sea Dretching - hapa huwa wanatumia meli kubwa amabzo huwa na vifaa maalum vya kuchimba mchanga katikati ya bahari, kisha mchanga huo hufanyiwa treatment ili kuondoa chumvi chumvi , kisha huwa wanasundika mchanga huo kwenye viroba kama cement na kuuzwa kwa wenye uhutaji.

Yaani unanunua mchanga packaged kama cement. kule hakuna ardhi ya kuchimba chimba na kuacha mashimo hovyo kama huku. Hata hivyo, mchanga huu sio quality nzuri.

2.) Quarry sand - Hapa huwa wanafunga macrusher makubwa kwenye machimbo ya mawe ambapo huwa wanasaga saga mawe ili kupata chenga chenga za changarawe zinazofanana na mchanga, uingereza huwa inatumika sana hii mbinu, hata hivyo, mchanga wa aina hii sio quality kabisa, na ni ghali.

- Hivyo basi, ili kumudu gharama za kumiliki nyumba, wengi huingia kwenye utumwa wa Mortgage, ambapo makampuni makubwa yenye uwezo ndio hujenga nyumba na kuwauziankwa mfumo wa kukipa kidogo kidogo.

Makapuni haya huja kwenye nchi za Afrika na kusomba mchanga kwa kutumia meli kubwa, ni kama njia wanayotumia Zanzibar kuchota mchanga toka vingunguti kwa kutumia yale malorry makubwa ya kichina, wanasomba mchanga kweli kweli na kupakia kwenye mameli na kupeleka ulaya. Kupitia mfumo wa Mortgage wengi hufanikiwa walau kumiliki nyumba wakifikisha miaka 80.

- Njia nyingine ambayo hutumika sana Marekani ni kujenga Suburban neighborhoods kwa kutumia mbao na miti.., yaani hadi fensi zao huwa ni za miti.., kisha wanabandika wall paper, nyimba inapendeza sana, ila sasa, ni nyumba ikiyojengwa kwa kuni, na kama tunavyojua kawaida ya kuni.., matokeo ya umasikini wa kujenga nyumba kwa kuni ni huo hapo chini, angalia video.., umasikini mbaya jamani, khaa…


View: https://youtu.be/STXJWpPAvvg?si=J8Y9IG1tUhhNjGZc

Acha bangi, hawa wanaomiriki GMC, Chevrolet, za, mabilioni ya pesa, washindwe kujenga kama hz, za kwenu bongo!
Wewe unayefsnya kazi TRA, salary milioni 3 kwa mwezi,uweze kujenga nyumba ya milioni 100 Madame, ununue Prado used kutoka Japan, lakini mmarekani mwenye kulipwa milioni 15 kwa, mwezi, anayeweza kununua V8 brand new kutoka Japan ya milion 300,ashindwe kujenga nyumba ya block,! Unawaza, kwa, kutumia makalio au?
 
Acha bangi, hawa wanaomiriki GMC, Chevrolet, za, mabilioni ya pesa, washindwe kujenga kama hz, za kwenu bongo!
Wewe unayefsnya kazi TRA, salary milioni 3 kwa mwezi,uweze kujenga nyumba ya milioni 100 Madame, ununue Prado used kutoka Japan, lakini mmarekani mwenye kulipwa milioni 15 kwa, mwezi, anayeweza kununua V8 brand new kutoka Japan ya milion 300,ashindwe kujenga nyumba ya block,! Unawaza, kwa, kutumia makalio au?
Law of demand vs Supply. Mtu anaelipwa milioni 3 anaweza kumudu nyumbabyabtofali sababu ya supply ya material husika ni kubwa huku, ila anaelipwa milioni 15 huko anaweza kushimdwa sababu ya scarcity of supply
 
Back
Top Bottom