mitale na midimu
JF-Expert Member
- Aug 26, 2015
- 10,420
- 17,735
Wataalam wanasema Bangi inasababisha Mbegu za kiume kuwa vivu au na zinaogelea kwa kuzorota na kwa uzembe hivyo kuleta ugumu katika kutunga mimba.
Haipunguzi Sperm count bali uwezo wa sperm yenyewe hii ni kwa uvutaji Uliopitiza au wa mara kwa mara.
Chanzo,
Watafiti university of British Colombia Canada