mitale na midimu
JF-Expert Member
- Aug 26, 2015
- 10,420
- 17,735
hata cocaine ilikuwa halali miaka ya 1900. utafiti ukaifanya iwe haramu...Bob Marley kaacha watoto kumi na moja( wanaojulikana) Hailey Selassie 7
Inamaana asingetumia Bob angeacha kama 50 hiviBob Marley kaacha watoto kumi na moja( wanaojulikana) Hailey Selassie 7
Kwani tunaongelea uhalali ama uharamu wake...sijaona hoja yako hapo, na pia huwezi kulinganisha herb na cocaine..two very very very different things!!...sawa ni taarifa lakini ni ya uongo!!hata cocaine ilikuwa halali miaka ya 1900. utafiti ukaifanya iwe haramu...
huo ni utafiti, na mazingira yamebadilika...
yote kwa yote hiyo ni taarifa sio amri
Nope!! Point ni kwamba mbegu zake zilikuwa zinafanya kazi kama kawa..sio kama inavyotaka kutuaminisha hii thread!!Inamaana asingetumia Bob angeacha kama 50 hivi
utafiti hauwezi kuwa wa uongo kwa mapenzi ya mtu bali utafiti unaopingana na ule.Kwani tunaongelea uhalali ama uharamu wake...sijaona hoja yako hapo, na pia huwezi kulinganisha herb na cocaine..two very very very different things!!...sawa ni taarifa lakini ni ya uongo!!
Kwahiyo kila tafiti ni ya kweli!! Seriously???? Like really????utafiti hauwezi kuwa wa uongo kwa mapenzi ya mtu bali utafiti unaopingana na ule.
vinginevyo laboratory zingegeuzwa vilabu vya pombe.
Kula bangi arifu achana na tafiti hasi
Wataalam wanasema Bangi inasababisha Mbegu za kiume kuwa vivu au na zinaogelea kwa kuzorota na kwa uzembe hivyo kuleta ugumu katika kutunga mimba.
Haipunguzi Sperm count bali uwezo wa sperm yenyewe.
Hii ni kwa uvutaji Uliopitiza au wa mara kwa mara...
chanzo,
watafiti university of British Colombia Canada
MBITI hii tu okuloku chapombe kalala hukuhuko ama? ..
Acha nipambane na hali yangu.