R.B
JF-Expert Member
- May 10, 2012
- 6,296
- 2,575
Utafiti uliofanyika unaonyesha kuwa ;
wajumbe wa katiba mpya na wabunge wengi wao inaonekana wamepeleka misimamo binafsi .
Baadhi wa wananchi wamedai wabunge hawajafanya mikutano na wannnchi kuwaelemisha .
Je wanataka serikali ngapi 2, au 3
nini faida na matatizo ya kuchagua serikali 2 au tatu
suala la ardhi ni mali ya raisi au wananchi.
Gharama za uendeshaji serikali zitapungua au kuongezeka.
Kura ziwe za wazi ili kujua msimamo wa jimbo au tasisi na sio siri (ikiwa siri itakuwa ni kura yake binafsi na si wananchi)
hii inaonyesha wabunge wengi watasukumwa na utashi binafsi na chama na sio wananchi.
wajumbe wa katiba mpya na wabunge wengi wao inaonekana wamepeleka misimamo binafsi .
Baadhi wa wananchi wamedai wabunge hawajafanya mikutano na wannnchi kuwaelemisha .
Je wanataka serikali ngapi 2, au 3
nini faida na matatizo ya kuchagua serikali 2 au tatu
suala la ardhi ni mali ya raisi au wananchi.
Gharama za uendeshaji serikali zitapungua au kuongezeka.
Kura ziwe za wazi ili kujua msimamo wa jimbo au tasisi na sio siri (ikiwa siri itakuwa ni kura yake binafsi na si wananchi)
hii inaonyesha wabunge wengi watasukumwa na utashi binafsi na chama na sio wananchi.