Elections 2010 Utafiti: CHADEMA 74% Igunga, kama uchaguzi ungefanyika leo

Huku Igunga CCM haina chao,wamechanganyikiwa thus why hata mitume kumi na wawili 12 wameshindwa kwenda.
 
Masaburi feki ya kichina yakiwa kazinii!
 
Tatizo kubwa ni kwamba kura zilishapigwa na zipo tayari kwenye maboksi zikisubiri siku ya kuhesabiwa. Ulinzi mkali sana unahitajika, vinginevyo wizi ni ule ule tu.
 
Tatizo kubwa ni kwamba kura zilishapigwa na zipo tayari kwenye maboksi zikisubiri siku ya kuhesabiwa. Ulinzi mkali sana unahitajika, vinginevyo wizi ni ule ule tu.
Mchaga bana..
Kila saa unawaza kuibiwa!
 
jamani tuache ushabik na tufuate uhalisia tusije pata viongozi wa magazetin na kwenye mitandao
sama hani kama nitakuwa nime harm mind ya mtu lakn hatahivyo uhalisia si ndo unapreveil ? thenks kama utafiti ulifanyika kweli na kwa makini kwa kuzingatia mfumo au kanuni za kiutafiti. ASANTE!
 
WANAZUONI wa Kiislamu nchini Tanzania (HAY-AT)........ lililosomwa jana na Naibu Katibu Mkuu wa Sekretarieti Kuu ya Umoja huo, Shehe Sherali Hussein Sherali na kusema siku tatu hizo zilianza jana.
Chama kinaitwa HAYATI hahahahaaaa, angalau wangekiita MAREHEMU.
 
Mimi najua watu tupo online kujua yanayojiri..Chadema hatudanganyani..Ahsante kwa utafiti huu ambao unawapa pressure wana Magamba..Wanaopinga ni wanatumia Masaburi yao bila kujua watendalo..Peoplessss....Powerrrr...
 
kama unabisha mioe leo nimeenda kwenye mikutano miwili kwanza ccm na ili chadema, ukweli ccm itaangukia pua tena vibaya sana . Nadhani mie nilivyoona leo mjini ccm 30 % chadema 59%
 
Leopold Mahona (CUF) ....................................................................................................................4% (37 votes)



Joseph Kashindye (CHADEMA).......................................................................................................88% (758 votes)



Peter Kafumu (CCM).......................................................................................................................6% (50 votes)


Said Makeni (DP)...............................................................................................................................................1% (7 votes)


Lazaro Ndageya (UMD)..............................................................................................................0% (2 votes



John Maguma (SAU).........................................................................................................................1% (7 votes)



Total votes: 861



source:Mwanahalisi
 
Magazeti yenyewe TANZANIA DAIMA LA MBOWE, NA MWANA HALISI ANTHONY KOMU
CHADEMA-subirini matokeo ndio mtajua kama chadema wanaigunga hawaitaki kuwamwagia tindikali muwamwagie na kura wawape?
Aliyetumwagia tindikali inaonekana unawafaham. Csi ndo wanaigunga na CDM tunaichagua utake usitake.
Kama na wewe una magamba njoo Igunga tukuvue.
 
unajaribu kuhamisha watu kwenye mada,pili inaonyesha upunguani kwa hao mashehe ubwbwa,yaani sasa wanataka kuandamana kwa ajili ya hijabu na wala si mahakama ya kadhi,mtatumiwa sana na ccm kama ifanyavyo condom baada ya mechi hutupwa,kama ilivyokua kadhi baada ya kura mkachenjiwa,waislam elimikeni kama wakristo huwezi kuta huu upuuz
 

Jana nilikutana na Kamanda ZITTO maeneo ya Ubungo Plaza nafikiri alikuwa akihudhuria vikao fulani pale maana kulikuwa na magari ya mabalozi kadhaa pale nje. Nikamuuliza vipi kamanda upo hapa mida hii wakati Uwanja wa mapambano IGUNGA hujasikika??? Akaniambia kuwa yeye anatakiwa kuwa IGUNGA wiki ya mwisho ya kampeni ili kumalizia kila kitu. Nikamwambia akusanye silaha zote nzito nzito kwenda kumaliza kazi. Hivyo wananchi wa IGUNGA wajiandae ngoma ndio kwanza haijakolea!!!!!!!!!
 
CHADEMA waende kule ambako kuna udhaifu fulani ili kuimarisha zaidi na kukaaa huko Kijijini na kuona tunakuwa washindi na Mungu atasaidia kabisa katika hili
 

ha ha ha ha haaa, amekudanganya sana, Zitto hawezi kukanyaga Igunga hata kwa bunduki
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…