Utafiti katika Lugha ya Kiswahili, Nimegundua kati ya maelfu ya maneno ya Kiswahili kuna neno moja tu linaloundwa na irabu pekee

Utafiti katika Lugha ya Kiswahili, Nimegundua kati ya maelfu ya maneno ya Kiswahili kuna neno moja tu linaloundwa na irabu pekee

FrankLutazamba

JF-Expert Member
Joined
Aug 9, 2018
Posts
448
Reaction score
409
Nimegundua kati ya maelfu ya maneno ya Lugha ya Kiswahili kuna neno moja tu la ilabu tupu nalo ni UA, kwa kumbushia tu, ilabu ni a, e, I, o, u. Na herufi zote zilizobaki ni konsonati, na ili neno liwe neno lazima uwepo mchanganyiko wa konsonati na ilabu mfano Uzi, hapo tunaona z ni konsonati.

Je, neno lipi jingine lenye ilabu tupu?
 
Katika utafiti nilioufanya, nimegundua watu wengi wanapenda aina ya uimbaji anaoutumia Zuchu.
 
Mtafiti wa Kiswahili ndiyo unaandika "Irabu" badala ya "Irabu"?
 
Back
Top Bottom