Wakuu naomba sana wale wanajami ambao wamebobea kwenye masuala ya utafiti waandae madodoso yenye lengo la kubaini sababu za wanafunzi kufeli kisha waweke hapa jamvini ili tupata sababu halisi toka kwa wadau wanaopita hapa jamvini
Wakuu naomba sana wale wanajami ambao wamebobea kwenye masuala ya utafiti waandae madodoso yenye lengo la kubaini sababu za wanafunzi kufeli kisha waweke hapa jamvini ili tupata sababu halisi toka kwa wadau wanaopita hapa jamvini