UTAFITI: Likes nyingi JF zinapatikana kwenye comments, sio kwenye mada

Utafiti wangu unsonesha wana JF wengi wanapenda 'michambo' kuliko mada.. Wakati mleta mada anaweza kuambulia likes mbili tatu, comment moja tu inaweza kuambulia hata likes kumi!
Unajua maana ya tafiti ??

Hyo tafiti yako umetumia technique na sample size gan au ndio umefatilia post za Heaven Sent & Co. ?? [emoji23] [emoji23]
 
Me nna lalamiko likes zangu hazizidi tano...wakati kila saa napata notification...sio kwamba napenda likes sana[emoji276]
 
Tafiti nyingi zinazo fanywa na waafrica huwa ni fake, kama simu za Tecno!!

Ukiwepo huu utafiti wa mleta thread!
 
Me nna lalamiko likes zangu hazizidi tano...wakati kila saa napata notification...sio kwamba napenda likes sana[emoji276]
We si ndo unatoboa macho wenzio...!! unataka likes zitoke wapi sa....[emoji54] [emoji53]
 
Tutajua humuhumu huo Utafiti utaleta jibu
Maan likes zimekua nyingi kwenye comments kuliko post husika hapo juu.

Hahaha,aisee JF,yaani majibu yamo humuhumu
Usishangae hata mie hapa chini nikapewa likes kibaoo kwa comments yaangu hii
Kama hizi.......,eheee umeona sasa.Utafiti tayari
 
Muda si mrefu utafiti utajirudia.
Mleta mada likes chache, mchangiaji likes nyingi.
 
C inategemea na ulichokiandika mkuu maana kama sijui uliandika nini? Cheki zinavyoshuka naona ww una 3 tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…