#COVID19 Utafiti: Mafua ya kawaida yanaweza kumkinga mtu dhidi ya maambukizi ya Corona

Analogia Malenga

JF-Expert Member
Joined
Feb 24, 2012
Posts
5,108
Reaction score
10,191
Watafiti wa Imperial College of London wamebaini watu wenye T-Cells nyingi wana uwezekano mdogo wa kupata Corona

Wamebaini kuwa mwili unapokuwa umeathiriwa na aina nyingine ya virusi kama kwenye mafua ya kawaida, huzalisha kiasi kikubwa cha T-Cells na kuulinda mwili dhidi ya #COVID19

Hata Hivyo, watafiti hao wamesema namna sahihi ya kujinga na corona ni kupata chanjo kamili na ‘booster’

===
Common cold could prevent people contracting Covid-19 — study finds

According to researchers at the Imperial College of London, people with high levels of T cells are less likely to contract Coronavirus. (GB News)

"We found that high levels of pre-existing T cells, created by the body when infected with other human coronaviruses like the common cold, can protect against Covid-19 infection,” one of the lead authors of the study said in a statement.

However, the authors maintain the best way to be protected from Covid is, “to be fully vaccinated, including getting your booster dose."

RT
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…