Utafiti: Maisha ni magumu sana kwa wanaume wafupi na wanawake wanene

Utafiti: Maisha ni magumu sana kwa wanaume wafupi na wanawake wanene

The Assassin

JF-Expert Member
Joined
Oct 30, 2018
Posts
4,942
Reaction score
20,077
Katika utafiti uliofanywa na chuo kikuu kimoja nchini uingereza ukishirikisha watu zaidi ya laki 2 umeonyesha kua maisha ni magumu sana kwa wanaume wafupi na wanawake wanene ukilinganisha na wenzao warefu na wembamba.

Utafiti huo unaonyesha kua wanaume wafupi wengi hukabiliwa na uzito uliopita kiasi, magonjwa ya moyo, elimu ndogo, pia hulipwa hupata kiasi kidogo cha mapato ukilinganisha na wenzao warefu. Hali ni hiyo hiyo kwa wanawake wanene.

Why life is tougher for short men and overweight women

Height, body mass index, and socioeconomic status: mendelian randomisation study in UK Biobank

Unaweza kusoma mwenyewe.

Unadhani huu utafiti una ukweli wowote?
 
Uongo wa kiwango cha lami..siyo kila utafiti wa mwanadamu una ukweli wa uhalisia wa MUNGU mwenyewe kwa mwanadamu huyo
Katika utafiti uliofanywa na chuo kikuu kimoja nchini uingereza ukishirikisha watu zaidi ya laki 2 umeonyesha kua maisha ni magumu sana kwa wanaume wafupi na wanawake wanene ukilinganisha na wenzao warefu na wembamba.

Utafiti huo unaonyesha kua wanaume wafupi wengi hukabiliwa na uzito uliopita kiasi, magonjwa ya moyo, elimu ndogo, pia hulipwa hupata kiasi kidogo cha mapato ukilinganisha na wenzao warefu. Hali ni hiyo hiyo kwa wanawake wanene.

Why life is tougher for short men and overweight women

Height, body mass index, and socioeconomic status: mendelian randomisation study in UK Biobank

Unaweza kusoma mwenyewe.

Unadhani huu utafiti una ukweli wowote?
 
ngoja waje
Lol_74140b_1943970.gif
 
Wanawake wanene tena! Hapa vimbaumbau wamefurahi japo haibadili ukweli kwamba wanaweka wembamba wanadanga sana kuliko wanene.
 
ninachojua mm maisha yanakuwa magumu kwa watu wafupi baada ya bulb kuungua na hakuna msaada karbu..!!
 
😀😀😀😀😀😀
Labda ulaya lakini kwa huku Afrika ni kinyume kabisa.
 
Hii ya wanaume wafupi kulipwa kiasi kidogo pengine inatokana na nadharia kuwa mahitaji yao yatakuwa ndogo! Lakini kwa mantiki hii, wanawake wazito wanatakiwa kulipwa maradufu!!!!
 
Labda huko ulaya ila Afrika hasa Tanzania wenye noti wengi tunaokutana nao ni wafupi
 
Katika utafiti uliofanywa na chuo kikuu kimoja nchini uingereza ukishirikisha watu zaidi ya laki 2 umeonyesha kua maisha ni magumu sana kwa wanaume wafupi na wanawake wanene ukilinganisha na wenzao warefu na wembamba.

Utafiti huo unaonyesha kua wanaume wafupi wengi hukabiliwa na uzito uliopita kiasi, magonjwa ya moyo, elimu ndogo, pia hulipwa hupata kiasi kidogo cha mapato ukilinganisha na wenzao warefu. Hali ni hiyo hiyo kwa wanawake wanene.

Why life is tougher for short men and overweight women

Height, body mass index, and socioeconomic status: mendelian randomisation study in UK Biobank

Unaweza kusoma mwenyewe.

Unadhani huu utafiti una ukweli wowote?
Mmmh
 
Back
Top Bottom