Elections 2010 Utafiti: Matumizi ya TEKNOHAMA kwenye Uchaguzi wa TZ 2010

tzjamani

JF-Expert Member
Joined
Oct 9, 2010
Posts
995
Reaction score
31
Wana JF,

Naamini chaguzi hi sehemu ya maisha. kwa hiyo napendekeza wale jamaa wanaosoma masters, .... . wachangamkie tenda. Naamini hiyo topic tosha kwa kufanya utafiti. Ila siyo wa kuchakachua kama wa redet, .....

Baadhi ya maswali.

1. Unafikiri TEKNOHAMA imetumikaji kwenye kampeni na hatimaye uchaguzi 2010.
2. Changamoto mbalimbali zilizopo na mikakati ya kuboresha matumizi ya TEKNOHAMA 2015

Maoni
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…