MeinKempf
JF-Expert Member
- Jun 11, 2013
- 11,093
- 7,229
Tafiti yakinifu zimethibitisha kuwa mwili wa binadamu una kiwango cha 0.2 milligram za dhahabu , kiasi kwamba unahitaji watu 40,000 kuweza kupata walau 8 gramu za dhahabu. Na kiwango hicho cha dhahabu kwa kiasi kikubwa kna patikana katika chembe chembe za damu yetu.
N.B: Tusianze kuwindana kama mlivyofanya kwa walemavu wa ngozi (albino) .
source: The Telegraph - Telegraph online, Daily Telegraph, Sunday Telegraph - Telegraph
N.B: Tusianze kuwindana kama mlivyofanya kwa walemavu wa ngozi (albino) .
source: The Telegraph - Telegraph online, Daily Telegraph, Sunday Telegraph - Telegraph