WanaJF,
Kwa anayejua anisaidie angalau kujua ni gharama kiasi gani inahitajika kuweza kufanya kazi ya Utafiti na Uchimbaji wa gasi na mafuta Tanzania.
Niliogopa sana kusikia matajiri wakubwa tunaowategemea Tanzania kuambiwa mitaji yao ni ya kununua na kuuza mandazi, na kwamba uwekezaji kwenye utafiti na uchimbaji wa gesi hawauwezi.
Je, ni kweli kwa matajiri waliopo Tanzania hata wangeamua kufanya Partneship hawawezi ?
Tafadhali kwa anayejua anieleweshe juu ya suala hili..
Kwa anayejua anisaidie angalau kujua ni gharama kiasi gani inahitajika kuweza kufanya kazi ya Utafiti na Uchimbaji wa gasi na mafuta Tanzania.
Niliogopa sana kusikia matajiri wakubwa tunaowategemea Tanzania kuambiwa mitaji yao ni ya kununua na kuuza mandazi, na kwamba uwekezaji kwenye utafiti na uchimbaji wa gesi hawauwezi.
Je, ni kweli kwa matajiri waliopo Tanzania hata wangeamua kufanya Partneship hawawezi ?
Tafadhali kwa anayejua anieleweshe juu ya suala hili..