Utafiti nilioufanya kuhusu jf.

Hance Mtanashati

JF-Expert Member
Joined
Sep 7, 2016
Posts
20,137
Reaction score
26,189
Nimefanya utafiti kwa miezi sita hatimaye nimegundua 98% ya members wote wanaongia humu jf kupitia jukwaa la utambulisho sio wageni bali ni members wakongwe ila wameongeza id mpya .

Members wageni wengi huanza kuchangia mada moja kwa moja kabla hawajajua majukwaa ya humu jf .

Lakini ukiona mtu kaingia jukwaa la utambulisho huku akijiita ni mgeni kaa ukijua huyo sio mgeni bali ni mwenyeji tu anataka apate attention tu basi.
 
Je utafiti wako umebaini kuwa kati ya ID 10 za kike nne zinamilikiwa na wanaume?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…