Utafiti TWAWEZA: Asilimia 53 ya watanzania wameridhika na maboresho ya huduma ya afya

Utafiti TWAWEZA: Asilimia 53 ya watanzania wameridhika na maboresho ya huduma ya afya

Nyabukika

JF-Expert Member
Joined
Jun 15, 2022
Posts
1,440
Reaction score
1,046
Utafiti uliofanywa na taasisi isiyo ya kiserikali TWAWEZA umeonyesha kwamba asilimia 53 ya wananchi waliohusishwa kwenye tafiti hiyo wameridhishwa na maboresha ya huduma za afya zilizofanywa na serikali ya awamu ya sita.
RWgmhueeUdxpISTfaUevGhtf1jWAV43wb5K8PfnV_79XHxYHXekJ9qk9Km8--C0T7lTIlXjBNgMRlrRMap64wvdC2ANlavk1SZUxA1-1ZXtuKGC3I1hGbKJU40snheDIGe91iq6cRVngFu82QrisMNc



Ukweli juu ya tafiti hiyo unathibitishwa kupitia ujenzi na ukarabati wa vituo vya afya 305 ambavyo vipo karibu na wananchi hali inayowapelekea kupata huduma bora za afya kwa haraka pasipo kutembea umbali mrefu kama hapo awali.

Pia, serikali imetoa ajira kwa watumishi wa afya 1650 na kuongeza maslahi yao ikiwa ni moja ya mkakati wa kuwezesha ongezeko la ufanisi wa utoaji huduma kwa wananchi.

Katika kuhakikisha huduma za afya zinapatikana, serikali imepunguza gharama za dawa na vifaa tiba ili kusaidia wananchi waweze kupata huduma bora na sio bora huduma.
 
Hivi CEO wa TWAWEZA alirejeshewa Passport. Naona anafanya maandalizi ya uchaguzi mkuu mpuuzi wa kiwango cha SGR.
 
47% iliyobaki ambayo haijaridhishwa bado ni kubwa sana, inaonekana hayo maboresho yaliyofanyika bado hayajakidhi mahitaji ya walio wengi.
 
Hivi hawa jamaa huwa wanawahojigi kina nani hasa? tunataka kujua sampling model yao, mwenye nayo aiweke hapa tuicheki.
 
Hivi CEO wa TWAWEZA alirejeshewa Passport.Naona anafanya maandalizi ya uchaguzi mkuu mpuuzi wa kiwango cha SGR.
Huu ni utawala wa Rais Samia Suluhu kwaiyo hakuna mtanzania atakae onewa
 
Hizi ripoti ni za kujifurahisha tu wao na baadhi ya watu

Ova
 
47% iliyobaki ambayo haijaridhishwa bado ni kubwa sana, inaonekana hayo maboresho yaliyofanyika bado hayajakidhi mahitaji ya walio wengi.
Mbolesho yamekidhi watu lakini pia hiyo ni sample tu ukifatilia kihalisia sekta ya afya imeboleshwa sana mfano sasa ugonjwa wa fistula unatibiwa nchi nzima sio mkama zamani mpaka mtu aje ccbrt kwenye secta ya afya Rais Samia Suluhu kaupiga mwingi haiana kupinga
 
Utafiti uliofanywa na taasisi isiyo ya kiserikali TWAWEZA umeonyesha kwamba asilimia 53 ya wananchi waliohusishwa kwenye tafiti hiyo wameridhishwa na maboresha ya huduma za afya zilizofanywa na serikali ya awamu ya sita...
Kweli unajivunia asilimia 53! Huoni kuwa karibu nusu ya watu hawaridhishwi. Na kabla ya hapo hali ilikuwaje?

Amandla...
 
Kweli unajivunia asilimia 53! Huoni kuwa karibu nusu ya watu hawaridhishwi. Na kabla ya hapo hali ilikuwaje?

Amandla...
Hiyo mi sample tu lakini ukweli unajulikana sekta ya afya imeboleshwa sana ata gharama za afya zimepunguzwa na hospital sasa zinapatikana mpaka vijijini na bado ujenzi wa hosp katika maendeo mbali manli unaendelea
 
Hiyo mi sample tu lakini ukweli unajulikana sekta ya afya imeboleshwa sana ata gharama za afya zimepunguzwa na hospital sasa zinapatikana mpaka vijijini na bado ujenzi wa hosp katika maendeo mbali manli unaendelea
Kama unajua ni sample tu kwa nini unaipigia debe? Mimi ningependa kujua hizo gharama zimepunguzwa kutoka wapi hadi wapi.

Amandla...
 
tozo wanasema 90% ya watanzania wanaifurahia maana ndiyo njia yao pekee ya kujiletea maendeleo yao.
Sio 90 ni asilimia 67 ya watanzania wameona umuhimu wa tozo na ni kweli tozo zitaleta maendeleo mengi sana mpaka sasa kuna vituo vya afya vimejengwa kupitia tozo
 
Kama unajua ni sample tu kwa nini unaipigia debe? Mimi ningependa kujua hizo gharama zimepunguzwa kutoka wapi hadi wapi.

Amandla...
Nikisema Sample i mean ni baadhi ya watanzania walioshiliki ambao walituwakilisha ata me binafsi naona ni lazima tulipe tozo kwa maendeleo ya nchi yetu
 
Nikisema Sample i mean ni baadhi ya watanzania walioshiliki ambao walituwakilisha ata me binafsi naona ni lazima tulipe tozo kwa maendeleo ya nchi yetu
Ungesema vingine ningekushangaa. Kwa hiyo unatuambia kuwa miaka yote hii hatujaendelea kwa sababu hizi tozo nyingi zilikuwa hazipo!

Amandla...
 
Back
Top Bottom