FikraPevu
JF-Expert Member
- Jan 2, 2010
- 304
- 236
UTOAJI wa ushuzi, katika mazingira yoyote yale, umekuwa na matokeo tofauti katika jamii yetu ya Kitanzania. Watu wanaotoa ushuzi au kujamba mbele za watu, huonekana mbele ya watu hao kama watu wasio kuwa na adabu, hivyo kudhalauliwa wakati mwingine.
Hata hivyo, taarifa za kitafiti za kisayansi, zinaweka wazi kwamba kutoa ushuzi au kujamba, ni afya. Kwa mujibu wa wataalam hao, kila mnyama kwa maana ya viumbe wote walio katika kundi la wanyama kisayansi, binadamu akiwemo, wakati fulani hujihisi tumbo kujaa gesi nyingi (kuvimbiwa), hivyo njia pekee ya ufumbuzi wake katika kuondokana na shida hiyo, ni kupunguza gesi hiyo kwa njia ya kujamba.
Kwa mujibu wa taarifa hizo za kitafiti, katika idadi yote ya viumbe hai vinavyojamba, mchwa anaongoza kuliko wanyama wengine wote. Aidha, mchwa huyo huyo anadaiwa kuchangia kupanda kwa joto la dunia (global warming) kwa kiwango kikubwa kwa kuwa huzalisha gesi ya methane kwa wingi kupitia njia hiyo ya kujamba. Kwa kawaida, gesi ya methane na hydrogen inaweza kusababisha moto.
Tafiti mbalimbali ambazo FikraPevu inazo, zimebainisha kwamba.
Habari zaidi, soma=>Utafiti: Ushuzi unaotokana na Kujamba, una Uwezo wa Kutibu Ugonjwa wa Saratani
Hata hivyo, taarifa za kitafiti za kisayansi, zinaweka wazi kwamba kutoa ushuzi au kujamba, ni afya. Kwa mujibu wa wataalam hao, kila mnyama kwa maana ya viumbe wote walio katika kundi la wanyama kisayansi, binadamu akiwemo, wakati fulani hujihisi tumbo kujaa gesi nyingi (kuvimbiwa), hivyo njia pekee ya ufumbuzi wake katika kuondokana na shida hiyo, ni kupunguza gesi hiyo kwa njia ya kujamba.
Kwa mujibu wa taarifa hizo za kitafiti, katika idadi yote ya viumbe hai vinavyojamba, mchwa anaongoza kuliko wanyama wengine wote. Aidha, mchwa huyo huyo anadaiwa kuchangia kupanda kwa joto la dunia (global warming) kwa kiwango kikubwa kwa kuwa huzalisha gesi ya methane kwa wingi kupitia njia hiyo ya kujamba. Kwa kawaida, gesi ya methane na hydrogen inaweza kusababisha moto.
Tafiti mbalimbali ambazo FikraPevu inazo, zimebainisha kwamba.
Habari zaidi, soma=>Utafiti: Ushuzi unaotokana na Kujamba, una Uwezo wa Kutibu Ugonjwa wa Saratani