LUS0MYA
JF-Expert Member
- Aug 4, 2011
- 866
- 1,109
Taarifa ya utafiti ndani ya miezi sita ya uanzishaji wa tozo kwenye miamala ya simu umeleta athari kubwa kwenye mifumo ya fedha ambapo miamala ilipungua kwa zaidi ya 53% lakini pia kulikuwa na upotevu wa ajira kutokana na kufungwa kwa vibanda vya kutolea huduma.
Kibaya zaidi mapato ya Serikali kupitia VAT na Service charge na hata corporate tax yameshuka na kimsingi mapato ya Serikali yamepungua.
Soma zaidi utafiti huo. View attachment spec_tanzania_mm_report_02_22-1(1).pdf
Kibaya zaidi mapato ya Serikali kupitia VAT na Service charge na hata corporate tax yameshuka na kimsingi mapato ya Serikali yamepungua.
Soma zaidi utafiti huo. View attachment spec_tanzania_mm_report_02_22-1(1).pdf