Utafiti wa kina nilioufanya kuhusiana na thread nyingi zinazoanzishwa humu JF

Utafiti wa kina nilioufanya kuhusiana na thread nyingi zinazoanzishwa humu JF

Makanyaga

JF-Expert Member
Joined
Sep 28, 2007
Posts
11,129
Reaction score
7,321
Thread nyingi zinazoanzishwa humu JF kawaida huwa zinachukua muundo wa aina hii:
  • Kuanzia page ya kwanza mpaka ya tano, watu wanakuwa wanajadili mada husika kwa umakini unaotakiwa na wnakuwa wako ndani ya mada muda
  • Kuanzia page ya sita mpaka ya kumi linaanza kujitokeza kundi dogo la watoto na kuanza kujadili mada nje ya mada, yaani wanaanza kujadili kitu kingine kabisa
  • Kuanzia page ya kumi na moja na kuendelea, kundi hilo la watoto linanza kujadili kwa kutukana kwa kurushiana matusi
Tabia hii inakera kiasi. Why should someone tukana in the mtandao?
 
Watoto wanaleta utoto. Kama ndivyo wanaharibu uzi.
Watoto jitahidini kusoma uzi bila kuchangia
 
Mtiririko wa comments hutegemeana na comment ya kwanza, mara nyingi watu hawanaga muda wa kusoma maelezo marefu...





Cc: mahondaw
 
Nilichokiona mara nyingi ni mtu wa kwanza akiandika kitu fulani basi wanaofuata wote watachangia kitu kinachofanana na hicho cha mtu wa kwanza.

Mfano mtu ameandika mada nzuri tu.
Lakini mtu wa kwanza kucomment ameandika.
Huu muandiko wako ni mbovu.
Basi wooote wanaofuata wataandika kuhusu muandiko wa mleta mada na kutoka nje ya lengo la mada.

Hii inaonyesha na kuprove kwamba watanzania au naweza sema africans wengi hawajitambui wakubwa kwa wadogo hivyo huishia kufuata mkumbo kitu ambacho ni dalili moja wapo ya ujinga.
And i think hiyo tabia imeanza hivi karibuni tofauti na ukiangalia mada za miaka ya 2010 mpaka 2015.

Hivi karibuni labda ni kwa sababu katika miaka 2010 to 2015 watu wachache walikuwa na access ya jamiiforums hasa watu wazima wasomi kutokana na ugumu wa kupata access ya internet.
pia kutokana na ule msemo or kauli ya home of great thinkers ilichangia pakubwa watu kuogopa hivyo kuficha ujinga wao hivyo kutoonekana wajinga or braindeads mbele ya great thinkers wa kipindi hicho.
Hivyo kila mtu akawa anajitahidi kuwa mstaarabu ili kutojiondolea hadhi na kushusha heshima ya jamiiforums ukichangia watu walikuwa wachache hivyo itakuwa rahisi kuwa noticed.

Hivi karibuni baada ya watu wengi kupata access ya internet hasa vijana na watoto wasiojitambua hivyo kwa jamiiforums pia.
Kutokana na vijana wengi kutokujitambua hivyo wao ni kawaida kupost ujinga considering ni sifa kuwa mjinga mbele ya wajinga na imeshakuwa kawaida kupost ujinga.
Hiyo imepelekea kila mtu kuvua gamba lake na kuanza kuweka ujinga hadharani watu wazima kwa vijana haijarishi ni umesoma au lah.
Hiyo imepelekea wale great thinkers kupotea na kubaki hao wa sasa hivi ambao wengi ndio wajinga.

Hiyo hutokea pia kwenye jamii zetu halisi ukiondoa virtual jamii ya jamiiforums.
Kama kitu fulani kila mtu anafanya basi kila mtu atajitahidi kubend in ili aendane na hiyo jamii haijarishi ni kitu gani.
Btw only kama mtu huyo hajitambui.

Na hiyo inaprove waafrika wengi ni wajinga.
Mambo kama hayo ni ngumu kuyakuta quora lakini yapo.
 
Thread nyingi zinazoanzishwa humu JF kawaida huwa zinachukua muundo wa aina hii:
  • Kuanzia page ya kwanza mpaka ya tano, watu wanakuwa wanajadili mada husika kwa umakini unaotakiwa na wnakuwa wako ndani ya mada muda
  • Kuanzia page ya sita mpaka ya kumi linaanza kujitokeza kundi dogo la watoto na kuanza kujadili mada nje ya mada, yaani wanaanza kujadili kitu kingine kabisa
  • Kuanzia page ya kumi na moja na kuendelea, kundi hilo la watoto linanza kujadili kwa kutukana kwa kurushiana matusi
Tabia hii inakera kiasi. Why should someone tukana in the mtandao?
kwahiyo na.wewe.ndio umeona utukane kunako.page ya kwanza kabla ya yasita??, nani watoto?? acha upuuzi
 
kwahiyo na.wewe.ndio umeona utukane kunako.page ya kwanza kabla ya yasita??, nani watoto?? acha upuuzi
Ulikuwa na dhamira ya kuni-quote mimi au ulikuwa ya kum-quote yule mwenye post iliyo juu ya ile ya kwako, isipokuwa kwa bahati mbaya ukawa ume-quote kimakosa?
 
Back
Top Bottom