Bongolander
JF-Expert Member
- Jul 10, 2007
- 5,067
- 2,210
Wajumbe hao wamesema kwamba haiwezekani Chama Cha Wananchi (CUF) kikapewa kuendesha serikali hata kama kitashinda kwa kuwa Zanzibar lazima iendelee serikali ya Mapinduzi na iwapo CUF itapewa kuendesha serikali Mapinduzi yatakufa ambapo lengo la mapinduzi ni kutaendeleza.
wacha kujichanganya ndugu yangu. Inawezekana CUF ikapata satuwa ya kuongoza nchi- kama wenyewe wananchi wataamua hivyo, na wataoongoza Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar (SMZ) kwa mujibu wa katiba. Lakini Seif kamwe hawezi kuwa Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi na Rais wa Zanzibar. Huo ndio ukweli. Sasa na tuende katika kisanduku cha kura tukamue huko.Na CUF wakipewa serikali itaendelea kuitwa SMZ kwa kuwa neno "serikali" kwa mjibu wa katiba ya Zanzibar, lina maana ya "serikali ya Mapinduzi Ya Zanzibar" na Seif Shariff atakuwa rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, kwa kuwa katiba ya Zanzibar inatoa tafsiri ya neno "rais" kuwa ni "Rais wa Zanzibar na Mw'kiti wa Baraza la Mapinduzi"(ambalo katika mfumo wa vyama vingi baraza hilo hatujuwi limempindua nani).
kuhusu matokeo ya bara watachekeleaa ila visiwani lazimaa wayapingee sanaaaaa....Kwa maoni ya Mh. Cpt. John Chiligati amenukuliwa akisema kuwa amefurahishwa na utafiti huu,unaonesha kuwa Kikwete bado anapendwa na ana nafasi ya kushinda uchaguzi ujao, kwa maana hiyo Cpt. anakubaliana na takwimu za utafiti huo kwa upande wa visiwani, kuwa Maalim ndiye "jogoo" huko.
Kwani tukisema katiba zetu zinamapungufu hamjuwi tunalenga nini, katiba zote mbili zimekaa kichama chama tu, hazina sura ya kitaifa ku-fit matakwa ya nyakati za sasa na zijazo, katiba ya Zanzibar imtungwa utafikiri ku serve chama cha Mapinduzi peke yake na kama vile wana guarantee kuwa watatawaka maisha. Pakacha, hivyo ndo katiba inavyosema kuwa " rais" ni "rais wa zanzibar na Mw'kiti wa baraza la Mapinduzi", tuseme CUF wasipewe serikali hata wakishinda vipi, itakuwaje miaka 50 ijayo(sisi tutakuwa hatupo pengine) na katiba ipo kama hivyo, chama kisichokuwa CUF wala CCM kinashika dola(lets say Alternative Force), watatawala kwa katiba ipi kama si hiyo, rais wa Serikali ya Alternative Force ataitwa vipi kinyume na katiba hiyo, na Cabinet yake itaitwaje kama si BLM?wacha kujichanganya ndugu yangu. Inawezekana CUF ikapata satuwa ya kuongoza nchi- kama wenyewe wananchi wataamua hivyo, na wataoongoza Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar (SMZ) kwa mujibu wa katiba. Lakini Seif kamwe hawezi kuwa Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi na Rais wa Zanzibar. Huo ndio ukweli. Sasa na tuende katika kisanduku cha kura tukamue huko.
Junius ukitaka kuyasarifu hayo mambo ya watu inabidi ufanye analysis kamili. Baraza la Mapinduzi (kwa kweli ni Baraza la Mawaziri). Baraza la Mapinduzi unalosema wewe limevunjika pale wakati ule lilipoundwa Batraza la wawakilishi. Baraza la \mapinduzi ni jina tu limeluwa "retained" for historical purpose na nia ya kuheshimu yale M apinduzi ya 1964. Junius nafikiri ungepata bahati ya kuzungumza na wazee kama Mzee Aboud Jumbe akakufahamisha vitu kama hivyo. sasa Baraza la Mapinduzi hilo lilobaki na jina kuna wajumbe pale kama kina Bi Asha, Samia, Mansour, Machano - hata hayo Mapinduzi wanayajua hao? Historia ibakishe kuwa historia-usijichanganye.Kwani tukisema katiba zetu zinamapungufu hamjuwi tunalenga nini, katiba zote mbili zimekaa kichama chama tu, hazina sura ya kitaifa ku-fit matakwa ya nyakati za sasa na zijazo, katiba ya Zanzibar imtungwa utafikiri ku serve chama cha Mapinduzi peke yake na kama vile wana guarantee kuwa watatawaka maisha. Pakacha, hivyo ndo katiba inavyosema kuwa " rais" ni "rais wa zanzibar na Mw'kiti wa baraza la Mapinduzi", tuseme CUF wasipewe serikali hata wakishinda vipi, itakuwaje miaka 50 ijayo(sisi tutakuwa hatupo pengine) na katiba ipo kama hivyo, chama kisichokuwa CUF wala CCM kinashika dola(lets say Alternative Force), watatawala kwa katiba ipi kama si hiyo, rais wa Serikali ya Alternative Force ataitwa vipi kinyume na katiba hiyo, na Cabinet yake itaitwaje kama si BLM?
Hivyo ndo katiba inavyosema si ushabiki hapa Pakacha!!
"Rose by any other name...."Junius ukitaka kuyasarifu hayo mambo ya watu inabidi ufanye analysis kamili. Baraza la Mapinduzi (kwa kweli ni Baraza la Mawaziri). Baraza la Mapinduzi unalosema wewe limevunjika pale wakati ule lilipoundwa Batraza la wawakilishi. Baraza la \mapinduzi ni jina tu limeluwa "retained" for historical purpose na nia ya kuheshimu yale M apinduzi ya 1964. Junius nafikiri ungepata bahati ya kuzungumza na wazee kama Mzee Aboud Jumbe akakufahamisha vitu kama hivyo. sasa Baraza la Mapinduzi hilo lilobaki na jina kuna wajumbe pale kama kina Bi Asha, Samia, Mansour, Machano - hata hayo Mapinduzi wanayajua hao? Historia ibakishe kuwa historia-usijichanganye.
Haya makubwa! Mbona semantics za Pakacha kuhusu BLM hazieleweki."Rose by any other name...."
Junius, habari ndio hiyo 😀 Then kichwa cha bandiko lako kimekaa ndivyo sivyo... CCM inaweza kuwa hoi PBA tu!
Nina hakika Masauni hapendi kusema ukweli kuhusu PBA, ndio maana namshangaa kwa kauli yake hiyo ambayo itamrudi mara baada ya uchaguzi. Zaidi inafaa awekeze nguvu za kutosha katika Jimbo la Mji Mkongwe na ili nae awe na cha kusema mara baada ya uchaguzi.
Mbinu za Malecela ambazo bado kuwa wazi ni ngumu kuzitabiri, ingawa jamaa zangu tayali wanadai kuzijua! Hata hivyo sidhani kama zinaweza kubadili chochote kwa upande wa Visiwani.
Tatizo kubwa la CUF ni kukebehi Mapinduzi, hii inawafanya wengi wapendao mageuzi kusita kujiunga nao, na kupelekea kuwepo na maneno ya nchi kutotolewa kwa karatasi.
CUF wataendelea kushindwa kwenye chaguzi hadi pale watakapokubali kuwepo kwa Mapinduzi.