Michael Amon
JF-Expert Member
- Dec 22, 2008
- 8,768
- 3,622
- Thread starter
-
- #21
Hivi tafiti ni kweli? Au ni imagination za kisayansi tu? Nimeona wakina mama wafupi wamejifungua salama, na sometimes warefu hawakufanikiwa.
Sawa. Hawa watu watakuwa ni too short. Hafu wapo wachache.
Now we are talking.
Its a long time fact, mwanamke mwenye urefu chini ya cm 150 ana uwezekano mkubwa wa kujifungua kwa operation. Sasa inaongelewa kana kwamba imegundulika sasa. Muwe mnachagua wachumba warefu,lol
Tukichagua warefu wafupi wataolewa na nani?
come here wewe, mie mutu fupi naitaji ndefu, lol.
Ma mbili kimo si ndo watakuwa hatarini kabisa?