Utafiti: Wana JF na Avatar zao

Ukishamwomba Mungu usisahau ni bikira Maria pekee aliyepata ujauzito kwa uwezo wa Roho Mtakatifu...

Nadhani ushanielewa... unaweza kunifuata PM ili tuanze mkakati wa kuweka mtoto kwenye tumbo lako
Hahahaaaa umenifanya nicheke kwa sauti. Asubuhi njema.
 
Hahahaaaa... kina wenyewe hiki kikabila. Kikiamua kukukataa kinakukataa tena kwa kukuumbua.
Nakwambia hatari, mwaka niliopata kizari cha kudandia ndege kwenye bawa kwenda kwa George Kichaka enzi hizo, kwanza kwenye ndege sikutaka hata kula( ningeanzaje kuchagua menu na kueleweka). Kufika chuo, mwezi mzima Maprofesa siwaelewi wanaongea nini ima kisubi, kimakonde au kisukuma.

Asee kikristu, aaah, muacheni mwenzenu asome mafaili tu. Msimdrive!
 
Hakina maana kabisa... huoni hata namba moja pamoja na kofia tatu kichwani bado kinamletea tabu??

Unaweza kudhani hapendi safari za nje kumbe anaogopa asije akaumbuliwa na hiki kikabila.
 
Hakina maana kabisa... huoni hata namba moja pamoja na kofia tatu kichwani bado kinamletea tabu??

Unaweza kudhani hapendi safari za nje kumbe anaogopa asije akaumbuliwa na hiki kikabila.
Nimemskia anasema anapitia mafaili kwanza!
 
Kabisa na wewe ungeweka yale mambo yako babu kweli hata me ningeamini
Miss chaga hiyo avatar ya Asprin ina tafsiri nyingi, hebu mwambie ageuze hiyo window ya laptop yake uone kinachomfanya awe bize kama sio yale mambo yake. Hii kitu "statisticali signifikanti".
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…