Utafiti;wana MMU na chitchat masikini

Mkuu kwa siku ya leo tu umepost nyuzi karibu 5 lakin hazieleweki kabisa..au unatafuta kiki kwa piki piki
 
nimefanya huo leo watu wengi wapo onilini na mala nyingi matajili wapo bize xoo jf wengi masikini hawana kazi za kufanya hasa WAHENGA
Duu! Na wewe ni great thinkers? Apana kwa ushauri wa bure rudi huko Facebook! Wewe kati ya haya hapa chini mojawapo linakuhusu
1. Ratio ya 1:4 na wewe upon.
2. Jamiiforums umeijua hivi Karibuni.
3.wewe kabla ya kudownload I con ya jf ulikuwa Facebook
4. Shule umeishia form four wakati wa big results now
5. Wewe unapenda kuangalia move za kibongo aka bongo move
6. Unaishi kwa baba na mama yako wakati una umri Mkubwa
7. Hapa jf unapenda sana jukwa la mapenzi na uhusiano
8. Kama una kazi sio yako ni ya ndugu yako
9. Kuja jf ulishauriwa hukujua umuhimu wa wanajf na jf yenyewe
10.wewe ni maskini ambapo ulisharizika nao.

Sent from my itel it1406 using JamiiForums mobile app
 
Hapa sawa yote yanamhusu.
 
nimefanya huo leo watu wengi wapo onilini na mala nyingi matajili wapo bize xoo jf wengi masikini hawana kazi za kufanya hasa WAHENGA
Kwanza mwanangu, huwez kufanya utafiti kwa siku moja kisha ukatoa hitimisho.

Halafu pia una mwandiko mbaya. Mfano- neno online wewe umeandika onilini, xoo hiyo sijui ni neno Gani.

Masahihisho:
Ukitaka utafiti wako wako fair kwanza tuwekee sifa za kutafiti, tuambie dependent, independent na constant variables zako. Kisha scope and time frame na sample size yako.

Cha pili jitahidi kurekebisha mwandiko wako.

Mwl

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sijui kama amechelewa. Ngoja nipande mlimani nikamfanyie maombi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…