Utafiti: Wanawake wa Afrika wanazidi kuwa wafupi

Yaani wewe kwa saa za huku kwetu bongo za usiku wa manane upo macho na saa za huko pia. Jamani watu mnatakiwa muwe mnalala ili mkuwe.

hahahahaha! Mwenzio nalinda sungusungu nitalalaje jamani!
 

Nami nina mawazo kama yako mkuu. sikubaliani asilani!
 
hahahahaha! Mwenzio nalinda sungusungu nitalalaje jamani!
<br />
<br />
Mh leo nimejaribu kujiunga sungusungu ili nibonnyeze keyboard usiku mzima lakini nimechemsha. Nyie lindo lenu huwa mnakuwa na kahawa? I wish nijiunge huko!
 
<br />
<br />
Mh leo nimejaribu kujiunga sungusungu ili nibonnyeze keyboard usiku mzima lakini nimechemsha. Nyie lindo lenu huwa mnakuwa na kahawa? I wish nijiunge huko!

Mbona nakuona na wewe unalinda! Au upo kwa maalbino, sisi tukilala wao wanaamka.
 
Ivi kuishi muda mrefu kunachangia na urefu???:eyeroll1:
 
Mbona nakuona na wewe unalinda! Au upo kwa maalbino, sisi tukilala wao wanaamka.
<br />
<br />
Nilikuwa nimeshaondoka sungusungu ila nilisahau kuzima tochi. Ha ha ha nipo kwa mtogole tunajitahidi kukomesha tabia ya hawa vibaka wanaowaibia watumiaji wa daladala. Nawe uko kwa Jaruo anayeongoza watu wanaomnunia?
 
Hao ni andunjez by nature. ukienda kwao unaonekana giant. Naona Thabeet akienda kule watazimia

hahahaha! Tena thabeet atapata shida kusalimiana na vitoto maana wazazi wao tu hivyo. Lol
 
yap. Ila mi simnunii, kumnunia ni kujinyima furaha wakati mwenzio hana hofu. Lol.
<br />
<br />
salimia onyango, sie tunapambana na hawa maalbino ambao wao rangi zetu hawaamini km zinastahili kuishi. Ila kumbuka ulinzi shirikishi ni muhim sn.
Hii ya urefu, labda kuna haja ya kujitahidi kuchanganya species ili nasi tuwe warefu
 
<br />
<br />
salimia onyango, sie tunapambana na hawa maalbino ambao wao rangi zetu hawaamini km zinastahili kuishi. Ila kumbuka ulinzi shirikishi ni muhim sn.
Hii ya urefu, labda kuna haja ya kujitahidi kuchanganya species ili nasi tuwe warefu

poa poa.
 
Ndio hivyo aisee, thats why demu wangu anadumaa daily!
 
Jaman m niliambiwa na bibi wapare kwa asili ni wafupi ila wapare wa leo warefu.huu utafiti ulikuwa na bias,sikubalian nae kabisa
 
Tayari Wachina wapo pale Sinza wanaongeza urefu!

Wanaongeza urefu wa nini? Urefu wa mshipa au kimo? Inawezekana ikawa kweli kwani pia wanaume wengi nguvu zao zimepungua lazima wanazaa watoto goigoi na wafupi!
 
Mie hiyo siiamini hata kidogo,kwa sababu hakuonyesha njia za kitaalam kufafanua jambo hilo.Sidhani kama kweli maendeleo ya kiuchumi husababisha ongezeko la urefu kwa wanawake mimi nadhani hilo ni suala la urithi kutoka kizazi kimoja hadi kingine (genetic Issues).NB tuwe makini sana kwan baada ya muda si mrefu sana wataleta dawa za kuongeza urefu na wanawake kununua.
 

NImekupata mkuu, lakini zingatia kwamba yeye hajasema wanawake wa Afrika ni wafupi bali amesema wameongezeka ufupi ikilinganishwa na wale wa miaka ya 1950s. Kwa hiyo kwa wastani wanawake wa Tanzania wanaweza wakawa warefu kuliko wa china pamoja na kwamba wastani wa urefu wao umepungua kwa hiyo 1.95cm. This is all about relativity. China on the other hand wanaweza wakawa na wanawake wafupi throughout the history lakini kama wamekuwa stable katika urefu au wastani wa urefu umeongezeka (hata kama hawafikii wa Tanzania) then hawatatajwa kwenye kundi la watu wenye wastani wa urefu pungufu....
Naamini umeelewa sasa, otherwise wahi Kikombe cha babu!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…