Utafiti wangu Binafsi, Taasisi zinazoongoza kwa Rushwa

Takukukukukuru je, wao wanawabambikiza watumishi kesi afu wanasema ili tufunge failing kata kidogo
 
Ongeza na TAKUKURU wenyewe. Mtuhumiwa akipelekwa kwao basi ndiyo kipindi cha mavuno
 
Wakitumbua hawa ndio tufufahi sio kutumbuana vitu visivyo leta tija kwenye Jamii
 
Kama umeisahau Uhamiaji basi hiyo listi haijakamilika.😬
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…