Utafiti wangu Je nipo sahihi.

Medecin

JF-Expert Member
Joined
Nov 29, 2011
Posts
8,221
Reaction score
22,496
C&P

UTAFITI

Kwa mujiub wa utatiif liuofanywa na Prfo. Jmebekillo wa chou kiuuk cha Dodoam, haukna haaj ya kuwa na mpaiinglo kweney heruif katiak maneon. Cha mhuimu ni kuaw na mpaiinglo kweney ehrufi za mwazno au miwsho tu, zinazobaik zinaweaz kuchagnanyaw tu na zkaieleweka bila taub. Hii ni kwa sabaub ubogno wa mwanadaum huaw hausoim kila heruif, bali husoam maneon kwa ujmlau wake. LIKE kaam umweeza kusoam na kueleaw utaifit wa chuo chteu! [emoji23]

Jembekillo
 
Hahahaaaa,,,, hatari sana unasoma kiswahili utafikiri unasoma kiarabu ambacho ni reverse kuanzia kulia kwenda kushoto....
 
Msahaulifu wa Fikra.....unapokosoa walioandika neno SURFER badaala ya SUFFER........Pufffffffff
 
Wadangane watoto wako waandike huu ujinga NECTA hapo ndyo utagundua kua umefanya utafiti wa kipumbavu
 
'chou kiuuk' kama jina la kichina
 
Pole kwa vyuma kukaza naanza kuamini research ya mtafiti mmoja kuwa utapiamlo kwa watoto unadhoofisha uwezo Wa kujifunza Na kuweka mdororo Wa kiakili

Nevertheless nimekuwa shocked namna mkuu umeshindwa kujua tu kuwa unaweza Ku speculate neno lililoshanganywa kwa kurejea kile cha usahihi Wa neno prior to the mixture one
 
copy and paste Na angalia iko jukwaa gani sio muda wote wa kuwa siriaz
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…