Utafiti wangu kuhusu hili Jukwaa

Marco Polo

JF-Expert Member
Joined
Jan 16, 2014
Posts
11,786
Reaction score
18,562
Katika kupita pita Kwangu kwa majukwaa tofauti ya Jf nimegundua kwamba humu ndani kuna Ke wengi zaidi kuliko Me, Je :

1. Ke ndio wanaongoza kwa kutendwa ndio maana wako humu ili kujifariji/kufarijiwa ?

2. Ke ndo wanaoongoza kwa kutenda wenza wao hivyo wako wengi humu ndani ili kujifunza mbinu mpya za kuendelea kuwaliza na kuwaangaisha jamaa zao?

3. Ke ndo wanaojua zaidi kupenda ndio maana wako zaidi humu ili kujifunza zaidi na kajiimarisha ktk nyanja husika ?

4. Ke ndio wenye experience zaidi na suala la mahusiano na mapenzi kwahiyo wako hapa ku share mawazo na wale wanaokutana na changamoto mbalimbali ktk mahusiano yao ?

5. Au wako mawindoni?

Mimi sielewi.......
 
Endelea kugundua........maana hakuna namna nyingine...........
 


Hahahahahahahahahahaha.....mkuu hiyo ya 5 nimecheka mpaka mbavu zinauma aiseeeeeew....kwahiyo humu kama mbugani vile
 
Namkosaje tena wakati ninae.......au ana mpango wa kuondoka........?........
Maana nisije kuwa nimekalia kuti kavu..........

Huyo sio mwenyewe anakutia shombo tu , wa kwako wa ukweli yupo
 
Kweli magufuli ana kazi.yani wenzetu huko ulaya wanafanya tafiti zenye kuleta maendeleo kwenye nchi zao huku tz watu wanafanya tafiti za Ke.
 
Mhh mi napita tu maana hizo mada zingine ukichangia utaambiwa unapendelea
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…