MWALIMU DAIMA
Senior Member
- Mar 4, 2023
- 129
- 263
Asubuh ya Leo nimepost Uzi ambao ukilnesha kuwa nataka kuvuruga ndoa ya Binti nilie mpenda ila akaniacha toka 2015.
Katika Uzi huo nilijipa uhusika kama nili fall in love at the first na nili invest a lot of effort kwa huyo binti. Katika Uzi huo nikasema nataka nivuruge ndoa ya huyo binti kwa Giza au Nuru.
📌📌 Ukweli ni kwamba Mimi ni mwalimu nilikuwa kwenye research yangu ndogo, comment za wa member wengi zilionesha Kuni attack na kunishambulia vikali kuwa mm si mwanaume wenye Akili, baada ya comment hizo nimekuja na mapendekezo yafuatayo:📌
01. Ni wakati sahihi sasa serikali kuanzisha somo la mahusiano mashuleni yaani msingi hadi vyuoni.
02. Comment za watu wengi zinaonesha wengi hawana ufahamu wa mambo ya mahusiano.
📌📌📌📌 Mtu pekee alie jaribu ku comment kwa hekima na mariifa ni mshana Jr, I appreciate you bro📌📌 mwingine ni amehlo some how kaonesha ukomavu katika ushaur juu ya a mahusiano
Ni mm mwalimu daima,
Kataa ndoa
Katika Uzi huo nilijipa uhusika kama nili fall in love at the first na nili invest a lot of effort kwa huyo binti. Katika Uzi huo nikasema nataka nivuruge ndoa ya huyo binti kwa Giza au Nuru.
📌📌 Ukweli ni kwamba Mimi ni mwalimu nilikuwa kwenye research yangu ndogo, comment za wa member wengi zilionesha Kuni attack na kunishambulia vikali kuwa mm si mwanaume wenye Akili, baada ya comment hizo nimekuja na mapendekezo yafuatayo:📌
01. Ni wakati sahihi sasa serikali kuanzisha somo la mahusiano mashuleni yaani msingi hadi vyuoni.
02. Comment za watu wengi zinaonesha wengi hawana ufahamu wa mambo ya mahusiano.
📌📌📌📌 Mtu pekee alie jaribu ku comment kwa hekima na mariifa ni mshana Jr, I appreciate you bro📌📌 mwingine ni amehlo some how kaonesha ukomavu katika ushaur juu ya a mahusiano
Ni mm mwalimu daima,
Kataa ndoa