Uzalendo wa Kitanzania
JF-Expert Member
- Mar 8, 2020
- 3,585
- 8,106
Wadau hamjamboni nyote?
Tafakuri ya kina kutoka kwa watafiti
Tafakuri ya kina kutoka kwa watafiti
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kumbe ndio maana hata misiba ya wazito hakuna kujigaragaza?😁😁Pesa haitakagi kelele!.
Utoke Kwenye Msululu Wa Bufee Wa Misosi Ya Nguvu Vinywaji Vya Kila Aina Uhakika,,Ujigaragaze Si Utaonekana Kituko,,Hata Mapepo Huwapata Watu Wa Hali Ya Chini KiuchumiKumbe ndio maana hata misiba ya wazito hakuna kujigaragaza?😁😁
🤣Kumbe ndio maana hata misiba ya wazito hakuna kujigaragaza?😁😁
Umeshakufa hata ukitupwa huna cha kufanyaWe chagua tu uwe masikini ufe upate watu wengi au uwe tajiri uzikwe na familia yako tu
By the way watu wakija wengi msibani kwako unakuwa unafarijika sana kwenye jeneza eeenh
🤣🤣🤣 na kumaliza hewa, unakuta chumba kidogo kimejawa na watu ishirini wakati mgonjwa anahitaji hewa safimasikini hawana cha kukupa zaidi ya kujirundika makundi kwa makundi wakisubiri kupata chochote kitu.
Watu wenye pesa huwa wanadai wanataka privacy, wengine huenda mbele zaidi hata kwenye msiba unahudhuria kwa mwaliko.Wadau hamjamboni nyote?
Tafakuri ya kina kutoka kwa watafiti
Andika vizuri tukuelewe!Wadau hamjamboni nyote?
Tafakuri ya kina kutoka kwa watafiti
mimi Kama raisi wa ma jobless pro max, naunga mkono hoja yako.Kama kawaida yetu sisi masikini kutafuta sababu za kujifariji, ni heri kuwa na watu wachache wenye upendo wa dhati kuliko kuwa na watu wengi ambao wengine ni wanafiki, waswahili sijui kwanini tunataka kuonekana kwamba tunapendwa na watu hata kama wengine hakuna wanachotuoffer