Utafiti wathibitisha kwamba Serikali ya Kenya imewekwa mifukoni mwa mafisadi, ni dhahifu sana.

Utafiti wathibitisha kwamba Serikali ya Kenya imewekwa mifukoni mwa mafisadi, ni dhahifu sana.

joto la jiwe

JF-Expert Member
Joined
Sep 4, 2017
Posts
26,117
Reaction score
46,617


Utafiti uliofanywa unaonyesha kwamba 33% ya bajeti ya nchi huishia mifukoni mwa watu wachache ambao wameikamata serikali yote ya Kenya akiwemo na rais pia, na kwamba serikali ni dhahifu sana haina uwezo wa kuwafanya lolote, vita dhidi ya mafisadi vilivyoanzishwa na Uhuru Kenyatta havijazaa wala haviwezi kuzaa matunda.
 
Vita dhidi ya ufisadi serikali ya Uhuru ilikuwa ni propaganda ili wapate misaada kutoka kwa wahisani maana ilifikia kapu la bajeti lilikuwa linasuasua. Wazee fake gold ila ufisadi Kenya kama pipa na mfuniko.
 
Many'angau kwa rushwa ni kama polisi wetu TZ!
Iko damuni mwao, iko akilini mwao, ni ugonjwa unaotibika kwa tabu sana, ila wataelewa tu...
 
Vita dhidi ya ufisadi serikali ya Uhuru ilikuwa ni propaganda ili wapate misaada kutoka kwa wahisani maana ilifikia kapu la bajeti lilikuwa linasuasua. Wazee fake gold ila ufisadi Kenya kama pipa na mfuniko.
Hawa jamaa wanachojua ni kupiga domo tuu.
 
Hawa jamaa wanachojua ni kupiga domo tuu.
Hiyo katiba mpya tuliyoambiwa "is the best in Africa" mbona hatuoni mabadiliko zaidi ya kuongeza mzigo kwa wananchi kulipa idadi kubwa ya wanasiasa katika county level?. Sasa hivi wakenya wengi wanahisi njia pekee ni kuondoka kwa Uhuru Kenyatta madarakani, ameshindwa kazi.
 
Hiyo katiba mpya tuliyoambiwa "is the best in Africa" mbona hatuoni mabadiliko zaidi ya kuongeza mzigo kwa wananchi kulipa idadi kubwa ya wanasiasa katika county level?. Sasa hivi wakenya wengi wanahisi njia pekee ni kuondoka kwa Uhuru Kenyatta madarakani, ameshindwa kazi.
Kila mchakato unaofanyika kenya ni fursa ya upigaji.
 
Hiyo katiba mpya tuliyoambiwa "is the best in Africa" mbona hatuoni mabadiliko zaidi ya kuongeza mzigo kwa wananchi kulipa idadi kubwa ya wanasiasa katika county level?. Sasa hivi wakenya wengi wanahisi njia pekee ni kuondoka kwa Uhuru Kenyatta madarakani, ameshindwa kazi.
Anataka kumrudisha Raila amsaidie kutumbua majipu.UK amezungukwa na majizi kila kona
 
Anataka kumrudisha Raila amsaidie kutumbua majipu.UK amezungukwa na majizi kila kona
Ukisikiliza huu mjadala hadi mwisho, unaonyesha wazi kwamba wakenya wengi wamechoka, wangependa itokee kama ilivyotokea Sudan. Hali ya maisha kwa ujumla ni mbaya sana kwasasa, Serikali ya Kenya ni dhahifu sana.
 
Ukisikiliza huu mjadala hadi mwisho, unaonyesha wazi kwamba wakenya wengi wamechoka, wangependa itokee kama ilivyotokea Sudan. Hali ya maisha kwa ujumla ni mbaya sana kwasasa, Serikali ya Kenya ni dhahifu sana.
Uhuru katumia pesa za wakenya kupigana vita isio na maana,ikiwemo kujenga ukuta
Wakenya wanakufa kwa ugaidi,wengine wanakufa kwa njaa
 
Back
Top Bottom