Utafiti: Yawezekana maambukizi ya corona ni mengi kuliko inavyoripotiwa duniani kote

Haya ndio yanayofanyika katika nchi zilizoendelea. Hapa kwetu mtu kuwa na wazo tu kuwa takwimu si sahihi ni kosa la jinsi. Mpaka hela ya walipa kodi ikatumika kuwalipa wabunge kukaa na kupitisha Sheria kuwa takwimu pekee ni za tbs. Kwa wenzetu tafiti ndio hujibu hoja, si matamko.

Sent from my Infinix X650B using JamiiForums mobile app
 
Usimpinge huyo bwana, nchi hii Ina vituko vingi. 2009 Sheria ya udhuru wa nyumba za wageni ya 2005 ilifutwa. Manispaa nyingi nchini ziliendelea kutelekeza Sheria hiyo. Mwaka 2012 wamiliki wa nyumba hizo Tabora walienda mahakamani wakashinda na kuamriwa manispaa iwarudishie hela zao. Mpaka leo hawajalipwa.

Sent from my Infinix X650B using JamiiForums mobile app
 
huu uongo umeupata wapi sema kidogo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…