Yesu hapendi wanafiki atafichuliwa tu kama ana maisha ya shortcuts
Weusi wazuriLabla wanapata wanaume wenye pesa tofauti wakiwa na rangi nyeusi
Huyu huyu anayetuonyesha mapenzi mubashara na msukuma kwenye shosho mediaMasanja
kajojo kama we ni ke njoo pm nina zawad yako toka kijijinLabda Kuna biashara anafanya
kajojo kama we ni ke njoo pm nina zawad yako toka kijijin
Njoo bsMnh[emoji848][emoji848]
NikuambieUnajua nakufikiriaga sana #warumi
real identity yako ni ipi na wew omba mungu san nisiijue.
Cyberbullying is the new cool in town[emoji23][emoji23]Ila wanazengo kwa tunaomjua muna alikotoa mwenzangu bibie kapiga hatua bwana, muna siku hizi Ana damshi, muna huyu sio muna Yule wa zaman Mbeba mapochi ya Wema sepetu, yani life lake limebadilika kwa asilimia kubwa na nadhani yeye anaweza kumuajiri Wema na yeye ambebee mapochi, lol .
Ila Shoga nae alishawahi kudaiwa kujihusisha na biashara haramu ya madawa ya kulevya, maana muna pesa kashika sana huyu dada , anaendesha magari ya thamani ata anapokaa mashallah si haba, yani inshort muna ni kati ya mastaa wachache bongo ambao they are living the best life.
Ila shoga yetu Sasa anachofanya mjini hakujulikani, ye ukimuuliza shosti mbona unadamshi ebu tupe siri na sie wanazengo, Bibi Yule anakwambia ni mambo ya Yesu, mmh bibie huyu anatufanya wajinga, kama kuokoka ndo ungekua kila mtu anaishi maisha yale basi jiji zima la dar lingeokoka maana sio kwa ugumu huu wa maisha .
Sitaki kumchimba sana mtumishi wa Mungu , wala kugusia maisha yake yaliyopita, cha muhimu kaamua kumrudia Mungu( kama kweli ) basi mie sina shida nae, Ila nae aombe nisipate umbea wake , atajuta mjini apa.View attachment 1097854
Sijui mastar wanapendea nini weupe
Kwa sababu papai lililoiva lavutia kuliko bichi...
Niambie utakuwa umenisadia saaaanaNikuambie
Hahahahahha !! Siwez kuangaika na mange,hata mimi bado niko shule ya msingiAhahah Mimi I don't care , Sasa kama mange anayeitikisa nchi watu hawamfanyi kitu sembuse Mimi ninayedili na mastaa wa Darasa la nne, mxieew 🤣
Nasikia anakwichikwichi na yule kaka wa kigamboni mlokole mwenzie.🙈
Yesu hapendi wanafiki atafichuliwa tu kama ana maisha ya shortcuts
Uno la gwajiboy feni mbovu cha mtoto.
Gwajiboy kajinyakulia sifa na siyo fedhea
Nasikia anakwichikwichi na yule kaka wa kigamboni mlokole mwenzie.[emoji85]