Utajari wa Muna Love

Muna hapo na ukikutana naye uso kwa uso tofauti [emoji23][emoji23][emoji23] sio mweupe sana huyo cameraman wake [emoji1373]
 
Umbea ni kusema kitu chenye ukweli bila kuruhusiwa na mhusika.
 
Cyberbullying is the new cool in town[emoji23][emoji23]
 
Unajua nakufikiriaga sana #warumi
real identity yako ni ipi na wew omba mungu san nisiijue.

Ahahah Mimi I don't care , Sasa kama mange anayeitikisa nchi watu hawamfanyi kitu sembuse Mimi ninayedili na mastaa wa Darasa la nne, mxieew 🤣
 
Ahahah Mimi I don't care , Sasa kama mange anayeitikisa nchi watu hawamfanyi kitu sembuse Mimi ninayedili na mastaa wa Darasa la nne, mxieew 🤣
Hahahahahha !! Siwez kuangaika na mange,hata mimi bado niko shule ya msingi
 
Uno la gwajiboy feni mbovu cha mtoto.

Gwajiboy kajinyakulia sifa na siyo fedhea

Kachafua Kanisa braza trust me, sema kwa sababu dini ni kama ulozi flan hivi....bado tutaendelea kumchangia hela ya kushoot movie nyingine.
 
Nasikia anakwichikwichi na yule kaka wa kigamboni mlokole mwenzie.[emoji85]

Kinachowaunganisha ni ‘biashara’. Na huko kwa Yesu ni kivuli tu cha hiyo biashara. Kwa hapo kweli wamekutana. Wote kwenye hiyo game ni makonki. Ila ipo siku Mungu atasikia kilio cha wazazi wanaoteseka na vijana wao.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…