Mus_musa
Member
- Mar 14, 2023
- 9
- 17
Hardware ni biashara ya kuuza vifaa vya ujenzi na vya kielectroniki.
Kiukweli biashara ya hardware ni nzuri na inalipa endapo ukiwa unajuhudi.
Hata ukiwa na 5mil unaweza kuanza na hardware kuanza kuuza vitu vidogo vidogo vinavyo toka kila siku mfano Vitasa vya mlango, Rangi 5L, Misumali n.k.
lakini pia kuhusu maeneo mtu anapaswa kufanyia ni nje ya town kwa maana watu washazoea kwenda kariakoo kwahiyo ukisema ufungulie maeneo ya karibu na kariakoo inakuwa ngumu kidogo inapaswa kuwa nje kidogo kama Kibaha na kuendelea.
Kwa Town mtu anapaswa kuwa na mtaji mkubwa usiopungua 30mil kwa maana ya Ofice standard na mzigo wa kutosha
Lakini Kuanzia Kibaha na kuendelea usisubiri ifike 10mil au 20mil unaweza kuanza na 5mil upate centre iliyochangamka.
Mjasiliamali
Karibu...
Kiukweli biashara ya hardware ni nzuri na inalipa endapo ukiwa unajuhudi.
Hata ukiwa na 5mil unaweza kuanza na hardware kuanza kuuza vitu vidogo vidogo vinavyo toka kila siku mfano Vitasa vya mlango, Rangi 5L, Misumali n.k.
lakini pia kuhusu maeneo mtu anapaswa kufanyia ni nje ya town kwa maana watu washazoea kwenda kariakoo kwahiyo ukisema ufungulie maeneo ya karibu na kariakoo inakuwa ngumu kidogo inapaswa kuwa nje kidogo kama Kibaha na kuendelea.
Kwa Town mtu anapaswa kuwa na mtaji mkubwa usiopungua 30mil kwa maana ya Ofice standard na mzigo wa kutosha
Lakini Kuanzia Kibaha na kuendelea usisubiri ifike 10mil au 20mil unaweza kuanza na 5mil upate centre iliyochangamka.
Mjasiliamali
Karibu...