Jpinduzi
Senior Member
- Feb 26, 2011
- 136
- 68
Ikiwa unapambana na hali mbaya ya kiuchumi na kifedha, jua kwamba, hayo si mapenzi ya Mungu; bali Mungu anataka uwe na mafanikio katika mambo yote. Unapotaka kupambana na hali yoyote inayozuia mafanikio yako ya kifedha na kiuchumi, pamoja na kufanya kazi kwa bidii na maarifa, lakini pia ingia katika maombi huku ukisimamia neno la Mungu katika mistari ifuatayo.
3Yohana 1:2
Mpenzi ninaomba ufanikiwa katika mambo yako yote na kuwa na afya yako, kama roho yako ifanikiwavyo
2Timotheo 2:7
Na Mungu atakupa akili katika mambo yote.
Kumbukumbu 28:1-13
Bwana ataibarikia kazi yote ya mikono yako
Zaburi 1:1-3
Heri mtu yule asiyeenenda katika shauri la wasio haki bai sheria ya Bwana ndiyo inayompendeza, atafananishwa na mti uliopandwa kando ya kijito cha maji na kila jambo alifanyalo, litafanikiwa
Yoshua 1:7-8
Uwe hodari na moyo wa ushujaa , uangalie kutenda sawa sawa na sheria yote ndipo utakapofanikiwa sana kila uendako na ndipo utakapostawi sana
2Wakorintho 8:9
Yesu Kristo, alikuwa masikini kwa ajili yenu, ingawa alikuwa tajri. Ili kwamba ninyi mpate kuwa matajiri kwa umaskini wake.
2Wakorintho 9:11
Mkitajirishwa katika vitu vyote, mpate kuwa na ukarimu wote, umpatiao Mungu shukrani kwa kazi yetu
Wafilipi 4:19
Na Mungu wangu atawajazeni kila mnachokihitaji kwa kadiri ya utajiri wake, katika utukufu, ndani ya Kristo Yesu.
Kumbukumbu 15:4
Na kati yenu, hawatakuwepo masikini kwenu, kwakuwa Bwana atakubariki kweli, katika nchi akupayo Bwana Mungu wako, uimiliki, iwe urithi wako
Isaya 45:1-3
Asema Bwana wa Majeshi, Nitakwenda mbele yako na kupasawazisha mahali palipoinuka, na kuvunja vunja milango ya chuma na mapingo ya shaba, nami nitakutolea hazina za gizani, zilizofichwa ziku nyingi
Malaki 3:10 12
Na mataifa yote watawaiteni heri; maana mtakuwa nchi ya kupendeza sana, asema Bwana wa majeshi
Warumi 10:12
Yeye ni Bwana wa wote, wenye utajiri kwa wote wamwitao
3Yohana 1:2
Mpenzi ninaomba ufanikiwa katika mambo yako yote na kuwa na afya yako, kama roho yako ifanikiwavyo
2Timotheo 2:7
Na Mungu atakupa akili katika mambo yote.
Kumbukumbu 28:1-13
Bwana ataibarikia kazi yote ya mikono yako
Zaburi 1:1-3
Heri mtu yule asiyeenenda katika shauri la wasio haki bai sheria ya Bwana ndiyo inayompendeza, atafananishwa na mti uliopandwa kando ya kijito cha maji na kila jambo alifanyalo, litafanikiwa
Yoshua 1:7-8
Uwe hodari na moyo wa ushujaa , uangalie kutenda sawa sawa na sheria yote ndipo utakapofanikiwa sana kila uendako na ndipo utakapostawi sana
2Wakorintho 8:9
Yesu Kristo, alikuwa masikini kwa ajili yenu, ingawa alikuwa tajri. Ili kwamba ninyi mpate kuwa matajiri kwa umaskini wake.
2Wakorintho 9:11
Mkitajirishwa katika vitu vyote, mpate kuwa na ukarimu wote, umpatiao Mungu shukrani kwa kazi yetu
Wafilipi 4:19
Na Mungu wangu atawajazeni kila mnachokihitaji kwa kadiri ya utajiri wake, katika utukufu, ndani ya Kristo Yesu.
Kumbukumbu 15:4
Na kati yenu, hawatakuwepo masikini kwenu, kwakuwa Bwana atakubariki kweli, katika nchi akupayo Bwana Mungu wako, uimiliki, iwe urithi wako
Isaya 45:1-3
Asema Bwana wa Majeshi, Nitakwenda mbele yako na kupasawazisha mahali palipoinuka, na kuvunja vunja milango ya chuma na mapingo ya shaba, nami nitakutolea hazina za gizani, zilizofichwa ziku nyingi
Malaki 3:10 12
Na mataifa yote watawaiteni heri; maana mtakuwa nchi ya kupendeza sana, asema Bwana wa majeshi
Warumi 10:12
Yeye ni Bwana wa wote, wenye utajiri kwa wote wamwitao