Utajiri Sio Uchawi, Akili au Bahati…. Ni Kanuni Tu…!

Lakini hapo umeongelea mtu mwenye income already. You can not save if you dont have. Note that there are other who only meet the breakeven point.

How about those ambao they earn zero but they still have to spend. There are people who are living near nature they dont earn anything but atleast they have to spend something so survive.

What is the principle for them to come out of the abject poverty life.
 
Nimekupata unamaanisha wale wa hand to mouth.., wanapata kidogo sana just to survive....,

Hawa hawana budi kutafuta Sources of Funds..., na sababu ni masikini, hawana kitu, na probably hawana business idea..., the best source nayoweza kufikilia labda wajoin Saccos, hizi zinatoa mikopo kwa wanachama wao kwa riba ndogo au kutafuta mikopo kutoka kwa familia na marafiki, au kama wana-good people skills wanaweza wakaongea na mtu mwenye mali (kwa mali kauli) akawakopa mali akiisha uza ndio alipe. Ofcourse mwanzo mgumu ila hata binadamu tunatambaa kabla hatujakimbia...
 
I would really Like This Thread to go On and On! Kuna wengi Tukiambiwa tushuke kwenye viti vya kuzunguka, Tujikite kwenye biashara hiyo kitu ni ngumu kwetu. But Hivi vichwa humu ndani vinaweza badili misimamo ya Wengi. Hope Voice of a reason is One of a good businessman in town.
 

11. Kufuatilia habari na matukio - kujua kinachoendelea kwa ujumla duniani.
12. Mahusiano mazuri na watu/wateja wa kesho na wa leo.
 
mi naona hiyo hapo juu ni theory....in practice, kuspend less than what you earn sio rahisi, unless una earn kiasi cha zaidi ya standard....ila kama kiasi chako hakikutoshi kununua chakula, then there is no point in saving.

kwa hiyo saving ni kwa wale ambao wanaweza kuafford basic needs, halafu wakawa na extra ya kutumia.
 

Mkuu kwa wale ambao hawana kipato basi inabidi through kuomba mtaji kwa washikaji, Saccos, Kutumia mali kauli, wajitafutie kipato mbadala..

Ila majority yetu kuna vitu luxuries ambazo tunazipenda na sio za lazima..., badala ya kwenda bara kila siku unaweza ukaenda weekend, badala ya kunywea bar unaweza ukanunu crate ukanywea nyumbani au cut out drinking kabisa mapaka kipato chako kitakapoongezeka badala ya kununua chakula, mkaa reja reja nunua jumla.., usinunue kitu sababu ya fashion bali sababu ya mahitaji, n.k. hapo utajikuta unasave....
 
Naamini in one thing only!!!

Spend less than you earn!!

others jus adds up into the mark!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…