Utajiri uliopo kwenye dhamana za serikali: Sehemu ya II (bonds)

mkuu aliye toa huu uzi amisha tolea ufafanuzi mzure kuhusu foreign currency ,huu uzi upo humu utafute
 
Hongera sana Kaka, Tatizo Tanzania yetu hii uwekezaji wa Muda mrefu bado hatujautilia mkazo. Kingine uduni wetu ktk kufikiri mambo makubwa. Wengi tunaamini ktk biashara za rejareja.

Elimu na stadi za masuala ya fedha ni mambo muhimu sana ktk soko huria.
 
Asante Mkuu.

Kwa Mwenye Kuweza Kubandika Hapa Link za Threads zilizopita atusaidie Jamani.
 
Ahsante Davion Delmonte Jr. kwa makala yako nzuri ya Dhamana za muda mrefu (Treasury Bond). Naomba kuuliza au kujua kama kuna usahihi kuziita Retail Bond as Dhamana za rejareja katika lugha yetu ya kiswahili, au kama unafahamu jina sahihi zaidi la Retail Bonds in Swahili. Cheers.Davion Delmonte Jr.Davion Delmonte Jr.

[h=2][/h]
 
mkuu mada nzuri naomba ufafanuzi wa hisa niende kwenye point .tulinunua vipande vya hisa precision airways ni muda sasa umepita hatujui tuanzie wapi na hisa zake ziko sokoni kwenye soko la hisa ,nafasi yetu ni ipi hasa katika zoezi hili
 
Aksante sana mkuu umenifungua macho..nauliza kwa 5m hesabu inakuwa hivyo hivyo ka kwa 100m...na zinapatikanaje hizo bond
 
Hii topic ni nzuri sana na nimeingiza kitu, you made my day! Ubarikiwe sana
 
Somo hili limekuja wakati muafaka kabisa, ili kuelewa zaidi Exim bank wameissue bond , kiwango cha chini kuwekeza ni million moja,na 14% interest rate, kwa mtu mwenye fedha iddle aisee kawekeza hutajuta

Sia hebu fafanua vizuti hii ya exim bank, nko interested sana kujua, na pengine kuwekeza. Asante
 
Ni dhahiri bonds zina security zaidi kuliko ununuzi wa hisa za makampuni

Ni kweli kabisa zina security zaidi lakini kumbuka the higher the risk the higher the return so kwenye bond expect lower return
 
Sia hebu fafanua vizuti hii ya exim bank, nko interested sana kujua, na pengine kuwekeza. Asante

Exim bank wameamua kukuza mtaji kwa kuissue bond, na wanahitaji kiasi cha shs 15 billions , mtu yeyote mwenye fedha anaruhusiwa kuwekeza na kiwango cha ching ni million moja kwa riba ya 14% kwa muda wa miaka sita, na riba italipwa kila baada ya mwaka, kwa hiyo ukiweka 1 million utapata 140,000 kila mwaka kwa miaka sita na baada ya six years utarudishiwa million yako, na wamesema hakuna kodi, sasa sijajua kama wanatoa at discount au lah, ndo hivyo baba J , ukitaka kufuatilia kwa taarifa zaidi, nenda DSE au matawi ya exim,
 
Mambo ndio haya,nasubiri sana somo la hisa thanks for the useful staff
 



Nashukuru Sia, nitaingia kwenye ya DSE niichek
 
Hata mimi nahitaji kusoma sehemu ya kwanza kuhusu T-Bills. Nimejaribu ku-search hapa lakini haipatikani. SAidia tafadhali.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…