Utajiri uliopo kwenye dhamana za serikali: Sehemu ya II (bonds)

Mada zako nzuri. Hope hili ni somo zuri kwa Taifa pia vijana wengi wakipata hii Elimu miaka ijayo tutakuwa na wawekezaji wazuri
 
Uzi umenirudisha darasani huu. [HASHTAG]#Investment[/HASHTAG] analysis ii
 
Very informative..

Much appreciation boss.
 
NMB Nao walikuwa wanaissue bond sinataarifa kama wameshamaliza au la.

mleta mada apo kwenye
BOND DISCOUNT=75.8133/1000
[HASHTAG]#100[/HASHTAG]

face value ya kopon 100,000*1000=100,000,000



riba=(100,000*1000)*(0.0918/2)
#0.098
 
Hiii thread muhimu
 
Thank you!
Nasubr na hyo ya hisa, bank interest na folex
 
Asante kwa somo zuri
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…