ww unataka ujasiliamali iwe ni kuiza visheti sehem penye shule ya msingi au kuuza miavuli wakat wa mvua au kutengeneza viatu vya ngozi, kwa akili yako huo ndo ujasiliamali unaoujua.
U dont thnk kufanya interventions hata kwa soft skills na bado ukanufaika kama mjasiliamali. mfano kuandika vitabu kuhusu demokrasia au kuunda asasi kwaajili ya advocacy, hyo ww huoni kama ni fursa. Tatizo lenu ni kutaka kufabya vitu kwa kufikiria vilevile anavofikiria flan.
U wont make a step na utabaki kua SHITHOLE tulosomeshwa na wazazi wako ili kuintarain handcrafts kama ndo fursa pekee.
Politics ni avenue ambayo pia watu wanapiga pesa vzuri tu. Think out of the box buddy.