Kama jamaa akikomaa na game,pengine anaweza kutangazwa Kwenye jarida maarufu la mastaa duniani FORBES MAGAZINE,jarida namba moja kwa kutangaza utajiri wa wasanii na watu maarufu duniani,kama ilivyokuwa kwa reginald mengi,rostam azizi pamoja mohamed dewji,kila kitu kinawezekana kwa sisi vijana kama tu tukiamua...
Madhara ya 50mb za promotion ndio haya, kila zuzu anadhani JF ndio sehemu ys kuja kujambajamba ushuzi wake.
Jifunze kuandika:Do not call me zuzu bcoz we dont know each other,and its not important to comment on every thread u see,umeona its non sense chapa rapa..
only ---- deserves you, blood imbecile...
Unajua sana kuwa umbea ndo uliokufanya ufungue huu uzi..