Utajiri wa Irene Uwoya

Status
Not open for further replies.
Umeongea point sana ila wasivyojielewa wakipewa uzi kusoma watasema hater yaani
Naomba waige mfano wa Jackline wa mengi kadanga ila kawekeza kwenye furniture
Yaani hawa watu bongo movie ni zero itabidi kuweka kampeni ya warudi shule tu
Wema kakumbuka shuka wakati kumekucha!

Bora Jaq wolper alishtuka mapema anafanya yake

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hela hizo anavyochezea mpaka watu wanaanza msema anahusika na ushirikina.

Wenzetu sijui wanafikiria na viungo gani vya mwili
 
UNA SHAMBA HEKA NGAPI AMBAZO USHAZIPIMA NA UMEZIKATA 20/20 DADA MAANA HATA WEWE NI MZURI KAMA UWOYA
ITAKUWA TU NI HII WALLET ISIYO NA HATA BUKU![/QUOTE]
IMA 20/20
 

subiri mapovu ya rocket kwa wadada wote kuanzia jf mpaka new member jf
 
Nashangaa sana wadada wanaoshinda kutwa instagram kuonyesha leo kavaa nini au ana ishi vipi wakati ni urongo tuu. Kwa kweli Mkuu umeongea point. Maana hata biashara zake hatuzijui kutwa kucha kujirusha. Ushauri ulompa ni mzuri ajue kuna mwisho walikuwepo warembo kina Cleopatra leo imebaki historia na yeye ajipange historia yake itakuwaje
 
Chagua lugha moja!...inanikera kumsikiliza MTU ambaye anachangganya kiingereza na kiswahili !na ni dalili ya kutomudu lugha moja kwa ufasaha!
 
Hahaha
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…