Utajiri wa Irene Uwoya

Status
Not open for further replies.
"they don't strive to better themselves for their mentally , emotionally and intellectually growth" .

Baada ya kusoma hiyo sentensi nukagundua kumbe na wewe ni kayumba mwenzangu, kiinglish cha kuunga unga.
 
Connections wakuu mwenye video yake...
 
Huu ni zaidi ya upendo kwa akina dada, aisee umetisha saana🀝🀝.
Pia umenifanya nijisikie muruuua baada ya kutaja iPhone tu na sio iPhone X and blah blah
 
Chagua lugha moja!...inanikera kumsikiliza MTU ambaye anachangganya kiingereza na kiswahili !na ni dalili ya kutomudu lugha moja kwa ufasaha!
Mkuu watanzania wengi hususani wenye elimu ya chuo na kuendelea hatuwezi lugha moja kwa ufasaha kwa hiyo usimlaumu
 
'Imagine a beautiful lady like uwoya , alivyobarikiwa uzuri wa nje, akivaa anapendeza, shepu ya uhakika , Ila anza sasa kuongea nae , yani kichwani hamna kitu , anacheka cheka tu mda wote, kujielezea hajui, Hana communication skills nzuri na hajiamini, she is ignorant and naive',thread is closed...
 
"they don't strive to better themselves for their mentally , emotionally and intellectually growth" .

Baada ya kusoma hiyo sentensi nukagundua kumbe na wewe ni kayumba mwenzangu, kiinglish cha kuunga unga.
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ JF daah
 
Co
Kutokuwa na good communication skills siyo kuwa naive kijana au kutokuwa na akili, Vipi Afrika ina watu wenye good comm skills kama viongozi karibia nchi zote ipo hivyo. VIPI MAENDELEO YA NCHI ZETU ZIPOJE?.
 
πŸ˜πŸ˜€πŸ˜‚πŸ˜ƒπŸ˜„πŸ˜…
Huyu Mungu Ni Wa Ajabu Sana
Ameweka Utamu Kwa Ndizi, Mananasi, Maembe
Utamu Mwingine Akatupa Kwa Wamama 😍🀩🀩😘
 
While Turkey is using wind from passing busses to rotate wind vanes - teamed with solar panels - to create electricity to power 20,000 homes!

Fellow poor Tanzanians are busy searching for Uwoya's sex tape. What a shame. Same people searching for the tape will be seen parading in various worshipping places praying for economic relief.
 
Punch on the face..
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…