si jambo baya kwa msanii kua na mali lakini waandishi mnajua wananchi wanahitaji ufahamu juu ya mambo ya maana hususani kipindi hiki ambacho nchi inaelekea katika uchaguzi pamoja na zoezi la upigani kura ya ndio au hapana kwa katiba mpya?
kabisa mtu unaandaa habari ya udaku tena ukiichunguza hata haijafanyiwa utafiti, waandishi hebu muwe na weledi kwa kusoma alama za nyakati na kutoa mchango kwa taifa maana kwakujua masanja anagari na nyumba hata hainisaidii kama ungeelezea hata mchakato wa katiba au tunu za uongozi.