Utajiri wa nchi za Afrika kwa mgawanyo wa raia (per capita)

Zimbabwe[emoji17],where are Rwanda and Burundi? Don't tell me they have undivisible figure
Hata mimi hapo nimeshangaa kidogo, hasa Rwanda kukosekana kwenye hiyo orodha![emoji18] [emoji18]

Ila Burundi migogoro bado inawaathiri
 
i second nairobiwalker...n after that take a chill pill
 
Waswahili wana liinchi likubwa lakini kwa umaskini hawajambo hahaaa[emoji2] [emoji2] [emoji90] [emoji90] [emoji90]
 
Hapo ukweli wa per capita ni kwa Botswana, Namibia na Mauritius. Wengine ni figures tu hapo. Kikiwa na high income inequality the so called prr capita is irrelevant.
 
Waswahili wana liinchi likubwa lakini kwa umaskini hawajambo hahaaa[emoji2] [emoji2] [emoji90] [emoji90] [emoji90]
Nyani haoni kundule[emoji57] [emoji57] [emoji57]
 
Wapi Gabon
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…