Walete hapa niwafunge midomo😅😅Maandishi tu yanatosha lv
😂😂😂we tulia,ngoja Dawa iwakoleeWamekula na kushiba? Sio nikianza kutoa sifa zako wife wapatwe na vidonda vya tumbo
Unanishaurije,nimrudie yule kivuruge au niendelee nae huyu new bae in town?Mim ndo nilikua namsifia
Haya maneno yako kweli, sema ulivyokuwa unanikandia😅Mim ndo nilikua namsifia
😂😂😂😂🚶Haya maneno yako kweli, sema ulivyokuwa unanikandia😅
Alimsifia kaka mwarsbu 😂😂😂😂Yule mwana mjaa laana atakua anafyatuliwa tu tope huko saa hii hata kukaa kuandika amalize hawezi
😂mrudie ... Huku utaingia kwa muuza viungo upoteeUnanishaurije,nimrudie yule kivuruge au niendelee nae huyu new bae in town?
😂na ukiangalia namtaka mume na siyo wa muda mfupi,....maana wa short time ukiwataka wapo wengi tu kitaa ila kiheshima nastahili nipata mume❤....embu ngoja nimrudie kama unauza viungo vya pilau😔🙆😂mrudie ... Huku utaingia kwa muuza viungo upotee
Lovelovie ni mkandiaji tangu nimfahamu😅😂😂😂😂🚶
😂😂 Kwahiyo humtaki muuza viungo vya binadamu?😂na ukiangalia namtaka mume na siyo wa muda mfupi,....maana wa short time ukiwataka wapo wengi tu kitaa ila kiheshima nastahili nipata mume❤....embu ngoja nimrudie kama unauza viungo vya pilau😔🙆
😳ukiishiwa utauza viungo vyangu love😔@Lovelovie
😂😂 Kwahiyo humtaki muuza viungo vya binadamu?